Umenifurahisha "mtelezo"very true na siyo za gharama kihivyo,
huyu anatumia shuka flani hivi tunaita mtelezo
Umenifurahisha "mtelezo"very true na siyo za gharama kihivyo,
huyu anatumia shuka flani hivi tunaita mtelezo
Umefanyaje
..JF watu wana madharau sanaPhysics kitandani mwa fukara!
U
Umefanyaje
Ni umeme huo unaotokana na msuguano wa vitu vitu viwili/ mada mbili. Hata ndege zinapokuwa zinasafiri angani, msuguano wa bodi na hewa huwa unasababisha kukusanyika umeme kwenye bodi ya ndege. Hata hivyo, umeme huo huwa unafyonzwa kitaalamu na kifaa kingineu kwenye bodi hiyo, vinginevyo karibia watu wote kwenye ndege wangekuwa wanakufa kwa kupigwa shoti ya umeme, pindi wanapotokea kugusana na bodi ya ndege inayosafiri angani. Hata baada ya kutua, umeme huo ungeendelea kuwepo kwenye bodi ya ndegeHabari za mida hii!
Hii kitu huwa naiyona sana hasa usiku nikiwa nataka kulala kama kuna kigiza flani huwa naona kama nikisugua shuka au hata neti naona kuna miale kama vitu vinametameta kwenye mashuka,
Huwa najiuliza ni vitu gani vinavyowekwa kwenye mashuka na neti mpaka unaona zinameta na kutoa miale kama ya moto. Wadau mnijuze
very true na siyo za gharama kihivyo,
huyu anatumia shuka flani hivi tunaita mtelezo
Umeniwahi nikitaka kuandika hivoNunua shuka za gharama 100% cotton hutooan hizo habari
Je Kuna baridi hapo ulipo?