Mashujaa katika Serikali ya Awamu ya Tano waliokataa kuwa watumwa na vibaraka

Askofu alikamatwa wiki ya mwisho ya mwezi Februari. Mapolisi wa Jiwe wakamdhihaki eti " Yule anayejiita Askofu" tunamhoji. Niliposikia vile nikajua sasa Magufuli ame cross red line. Hakumaliza wiki mbili tena.

Magufuli alidhani ana deal na maaskofu feki akina Gwajima, Lwakatale, Gamanywa na akina Pengo. Alikosea njia.

Pythagoras nimekumbuka hii statement.

Nimeanza kuingiwa na hofu tena!
 
Dr Mwere alisema Tanzania ina virusi vya Zika ambavyo tangu alipotumuliwa hatujaviskia tena na siyo tanzania tu bali Afrika yote. Wakati anatangza hivyo, Zika ilikuwa South Amerika, kwa hiyo kueleza ilivyoruka kutoka South Amarika na kutua kwenye Lab ya Dr. Mwere hadi kumpa significant sample at least 95% confidence interval ilikuwa ni ajabu sana.

Prof Assad ni opportunist tu; alitumia vibaya ofisi yake kuwa kama vile ni informant wa ACT-Wazalendo hata kwa data za kupikwa tu. Akasema serikali ilitakiwa inunue ndege kwa mkopo kuliko kununua taslimu; mtu wa ajabu sana huyu.

Huyo mwingine sijui yeye ialikutwa na kadhia gani.
Umewasilisha hoja yako kimbea sana.
 
Amefariki Askofu maarufu Nigeria sio ajabu JPM kufa.

Hoja ni dhaifu inayojaribu kulinganisha kifo cha mtu na hawa wanaharakati ambao wengi wao ni madalali tu wa wenye pesa zao kimataifa.

Mtu mwenye miaka 61 mwenye tatizo la moyo la zaidi ya miaka 10 lenye kujulikana alifanya mengi sana ya maana kulinganisha na haya madai ya wanaharakati wenye kujiona wao ndio Tanzania.
Namna ulivyokufa ndiyo hoja.Unakufa 9th ila unatangazwa 17th!A laughter of a lifetime!😝😝😝😝
 
Back
Top Bottom