Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,221
- 26,031
- Thread starter
- #141
CCM hawana akili nduguMbona wakati mwingine unashusha hadhi yako! Huwa nakuaminia kwa Mambo ya msingi.
CCM hawana akili nduguMbona wakati mwingine unashusha hadhi yako! Huwa nakuaminia kwa Mambo ya msingi.
PAMOJA NA YULE MTAALAMU WA KULA "RAMBIRAMBI "🤣🤣🤣🤣🤸♂️🤸♂️🤸♂️3. Halima James Mdee ambaye ameondoa mfumo dume CHADEMA!
Tundu lisu kazuiaje misaada wakati sisi ni matajiri na ni donor country?Chanagmoto, China ni wajamaa na wameendelea, zipo Nchi nyingi sana zinafuata mfumo wa ubepari hali i ni mbaya, zipo Nchi zinaongozwa kiimla, kifalme kama EMIRATE, Libya nk zilifanya vizuri sana.
Kwa hiyo usi copy na ku paste. Nikiulizwa kaacha alama gani za wazi Tundu Lissu hazipo na wala hazionekani. Nitakumbuka matusi , ukosoaji usio na staha, kuzuia misaada kwa Nchi , kupinga kila kitu bila kutoa mbadala.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza hapo juu, hawa ndo mashujaa wa Tanzania ambao kwa vyovyote vile lazima tutakuja kujenga minala yao kwa ajili ya kuwakumbuka. Ni watu waliopambana sana kwa ajili ya Watanzania na wakati ulikuja kuamua kuwa wao ndo walikuwa sahihi pamoja na mateso mengi waliyoyapitia
Lumumba wanajua hayo? Wao Kila kitu wamekaririNani kakwambia China ni wajamaa??? Rudi kwenye vitabu vyako kajifunze tena??? Hujui hata kuwa makampuni mengi ya kibepari yamewekeza China miaka na miaka?? Hujui makampuni makubwa kama Standard Chartered , Apple, Scania, Mc Donald’s yote for years mitaji yao mikubwa ipo China???
Fuatilia tena historia ya China na uchumi wake ulivyo ndo uje kuongea humu
Wengine ni pamoja na Halima James Mdee
Ester Matiko
Ester Bulaya
Nusrat Hanje
Mama bBjiku kwa kuwapigania Wanawake Tanzania
Unaelewa maana yamfumo dume..??3. Halima James Mdee ambaye ameondoa mfumo dume CHADEMA!