parts
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 2,712
- 1,746
🙏🙏Nashukuru kuishi na kumshuhudia Tundu Antipas Lissu
🙏🙏Nashukuru kuishi na kumshuhudia Tundu Antipas Lissu
Yn mpaka Sasa cjui Kama yupo atakae tokea mwengine kumzidi lisuMkuu..umesema kweli tupu.
Kila nikiirudia ile video aliyovimbiana na polisi pale Nyamongo akiwaambia wakitaka wampige mabomu au wampige risasi lakini pale HAONDOKI.
Nasema huyu ndie haswaa kiboko ya Meko na CCM.
HahahahahahahahahahahaBabu wa Loliondo.. huyu alikuwa shujaa kweli kweli... aliweza kumpa kikombe feki mpaka big bosi
HahahahahahahahahhaaKazi ya Lissu hata sasa inaonekana.
Jiwe kawa mpole sana amaeacha kukurupuka
Hahahahahahahhahahaaaaa4.Daud albert bashite=mzalendo mnyonge mwenye makalio makubwa kushinda marc wote duniani
Okay ndugwai umeeleweka3. Halima James Mdee ambaye ameondoa mfumo dume CHADEMA!
3. Halima James Mdee ambaye ameondoa mfumo dume CHADEMA!
ID yako nzuri, Ila akili yako ya amba ruti3. Halima James Mdee ambaye ameondoa mfumo dume CHADEMA!
Hahahaaaa..... Umeshapanic manka!ID yako nzuri, Ila akili yako ya amba ruti
MBWA wewe, wanao watalilaani kaburi lako kwa UPUMBAVU WAKO. Nmsikitikia sana aliyekubeba tumboni miezi 9.Hahahaaaa..... Umeshapanic manka!
Nimesoma kwa kambona nimeelewa sana Ila huo utopolo mwingine ulo weka hata cjasoma
Vibaraka ndo nini?Vibaraka
Itachukua miaka zaidi ya 50Yn mpaka Sasa cjui Kama yupo atakae tokea mwengine kumzidi lisu
Mbona wakati mwingine unashusha hadhi yako! Huwa nakuaminia kwa Mambo ya msingi.3. Halima James Mdee ambaye ameondoa mfumo dume CHADEMA!