Mashuja wa m4c kutoka nyololo wapokelewa kishujaa mbeya jioni ya leo

Ndyali

JF-Expert Member
Nov 24, 2011
1,661
948
Itakumbukwa kuwa makamanda kutoka Mbeya walijitolea kwa ghalama zao kwenda kuongeza nguvu katika vuguvugu la M4C kwa kutoa elimu ya uraia katika vijiji vyote vya mkoa wa Morogoro, kwa mafanikio ya Morogoro tayari ripoti ishatolewa na mkuu wa oparation hiyo. Walipotoka Morogoro Makamanda hao walitua katika vijiji wa mkoa wa Iringa wakienda nyumba kwa nyumba na kuharibu kabisa ngome za ccm vijijini katika vijiji vya jimbo la Mfindi, wote tulisikia Dr. Slaa akieleza mafanikio katika vijiji vya wilaya ya Mfindi, taarifa ya Dr. Slaa iliwashitua usalama wa taifa na polisi wakalazimika kupanga njama za kuwaunganisha Makamanda wa Mbeya na kesi ya mauaji ya RIP Mwangosi. Hivyo polisi waliamua kuwakusanya makamanda 32 wa Mbeya waliokuwa wamejichimbia vijijini kutoa elimu ya uraia. Siku ya leo baada ya kugundua kuwa somo lao halieleweki kwa watanzania wamewaachia, na jioni ya leo msururu mkubwa wa magali yaliyotoka kuwapokea mashujaa wetu mpakani mwa Iringa na Mbeya umepita hapa maeneo ya ccm kwa shangwe kuu ya ajabu. Kweli Mbeya wamedhamiria kuwa mashujaa wa M4C.
 
Itakumbukwa kuwa makamanda kutoka Mbeya walijitolea kwa ghalama zao kwenda kuongeza nguvu katika vuguvugu la M4C kwa kutoa elimu ya uraia katika vijiji vyote vya mkoa wa Morogoro, kwa mafanikio ya Morogoro tayari ripoti ishatolewa na mkuu wa oparation hiyo. Walipotoka Morogoro Makamanda hao walitua katika vijiji wa mkoa wa Iringa wakienda nyumba kwa nyumba na kuharibu kabisa ngome za ccm vijijini katika vijiji vya jimbo la Mfindi, wote tulisikia Dr. Slaa akieleza mafanikio katika vijiji vya wilaya ya Mfindi, taarifa ya Dr. Slaa iliwashitua usalama wa taifa na polisi wakalazimika kupanga njama za kuwaunganisha Makamanda wa Mbeya na kesi ya mauaji ya RIP Mwangosi. Hivyo polisi waliamua kuwakusanya makamanda 32 wa Mbeya waliokuwa wamejichimbia vijijini kutoa elimu ya uraia. Siku ya leo baada ya kugundua kuwa somo lao halieleweki kwa watanzania wamewaachia, na jioni ya leo msururu mkubwa wa magali yaliyotoka kuwapokea mashujaa wetu mpakani mwa Iringa na Mbeya umepita hapa maeneo ya ccm kwa shangwe kuu ya ajabu. Kweli Mbeya wamedhamiria kuwa mashujaa wa M4C.
Polisi walikuwa wanazunguka mitaani wakitoa somo?.
Je linahusu nini?.
 
Kwa hiyo waliokuwa Nyororo wooote ni wageni? Tunaambiwa Polisi walikuwa wageni na makamanda wa CDM nao kumbe walikuwa wageni toka Mbeya. Hatari wageni kwa wageni wanapambana!
 
Hii habari si ya kweli!hakuna kijana wa Mbeya aliyeenda Iringa,ila tulikuwa tumepanga kwenda tarehe 9-9,kwenye mkutano ambao ungefanyika Iringa Mjini,cku ya Hitimisho!
 
Hii habari si ya kweli!hakuna kijana wa Mbeya aliyeenda Iringa,ila tulikuwa tumepanga kwenda tarehe 9-9,kwenye mkutano ambao ungefanyika Iringa Mjini,cku ya Hitimisho!

Bado mnazidi kuchanganya mambo. Toka Mbeya kwenda Iringa kwa hiyo hakuna tofauti na CCM wanaobeba watu kwenye mafuso?
 
Mkuu Kyaiyembe, Usiwe mvivu wa kuelewa lol.
Mkuu ni kweli kwani sentensi yako haikuweka wazi nani hakueleweka kwa watanzania, na ndiyo nikataka kujua ni somo la nani halikueleweka badala ya kunielezea unaniambia tatizo nililonalo, Sawa sikukuelewa nifafanulie." Hivyo polisi waliamua kuwakusanya makamanda 32 wa Mbeya waliokuwa wamejichimbia vijijini kutoa elimu ya uraia. Siku ya leo baada ya kugundua kuwa somo lao halieleweki kwa watanzania wamewaachia"
Tatizo shule au bangi?!
Ndiyo tatizo shule maana nilifundishwa kuwa kama kuna kitu sijaelewa niulize ili nieleweshwe zaidi. Hilo ni kosa?.
 
Back
Top Bottom