Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 3,718
- 6,772
Tusijisahaulishe kwa jirani Kenya kipindi cha uvamizi wa maduka ya westigate mall....magaidi wanne tuu(4) waliliimbisha kila aina ya nyimbo jeshi zima LA Kenya....kwa zaidi ya siku tatu...all armed forces of Kenya.
Tusitumie tukio hili kuwabeza polisi wetu,hakika wamejitahidi. Raia kwenye eneo LA tukio nahisi watakuwa walikimbia kuokoa maisha yao(labda) lakini polisi walijitolea nafsi zao kuzuia umwagikaji damu.
Mnacheka labda hamuwajui wasomali vizuri....chekeni maana mmepata platform ya kutolea kila aina ya dhihaka kwa jeshi letu LA polisi.
Jf huwa kila member ni msomi kwa mtazamo lakini mbona mambo hamuyatazami kwa usawa? Elimu yetu lazima itakuwa na shida mahali.
Nao
Tusitumie tukio hili kuwabeza polisi wetu,hakika wamejitahidi. Raia kwenye eneo LA tukio nahisi watakuwa walikimbia kuokoa maisha yao(labda) lakini polisi walijitolea nafsi zao kuzuia umwagikaji damu.
Mnacheka labda hamuwajui wasomali vizuri....chekeni maana mmepata platform ya kutolea kila aina ya dhihaka kwa jeshi letu LA polisi.
Jf huwa kila member ni msomi kwa mtazamo lakini mbona mambo hamuyatazami kwa usawa? Elimu yetu lazima itakuwa na shida mahali.
Nao