MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Cha muhimu tu nna yeye asije jinyonga gerezani kama Kizito na wengine
Labda wao ndio wamnyonge halafu kama kawaida yao, wazungushe maneno.Cha muhimu tu nna yeye asije jinyonga gerezani kama Kizito na wengine
Alikamatwaje?sema jamaa alikamatwa kimafia sana
Shauri yako.Ninaamini kuwa,
Mungu wa haki ni LAZIMA ataingilia kati kwa kumwekea mkono wake Shujaa wa ki-Hutu aliewalinda na kuwaficha wa-Tutsi zaidi ya 1000 ili wasiuwawe.
Kagame hawezi kuendelea kuendesha nchi kama anavyotaka. AMEN
AMEN, AMEN.Shauri yako.
Shujaa wa film ya Hotel Rwanda ambaye kesi yake ilirindima tangu mwezi February Mwaka huu, Leo hii amehukumiwa kutumikia kifungo Cha miaka 25 jela.
Awali, Rusesabagina alinukuliwa na vyombo vya habari vya Rwanda akisema hategemei kupata haki kwenye mahakama za Rwanda kwani hazipo huru na amedai kuwa kesi yake ni ya kisiasa kati yake na Paul Kagame.
Rusesabagina amekuwa akikabiliwa na kesi inayofanana na ile inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu Cha upinzani hapa Tanzania.
Kwa habari zaidi soma page ya CNN
___________________________________
(CNN)Paul Rusesabagina, who inspired the film 'Hotel Rwanda,' has been found guilty by a court in Kigali of being part of a terror group, MRCD-FLN. Rusesabagina, along with 20 other people, was accused of conspiring to launch attacks on Rwandan territory in 2018 and 2019, resulting in at least nine deaths.
The judge, reading out the verdict on Monday said: "The court also finds that they were in this group very aware that they were committing terror acts, they wanted the terror acts committed and this is evidenced by the work that they committed while in that political party. They formed FLN which is an illegal armed group, which attacked Rwanda in 2018 and 2019 and even after that they bragged about it in different announcements and videos," the judge said.
The 66-year-old was first arrested in August 2020 and faces nine charges, including financing terrorism, murder as an act of terrorism, formation of an irregular armed group, and membership of a terrorist group, among others. Rusesabagina gained prominence for saving hundreds of Rwandans during the country's genocide by sheltering them in the hotel he managed. His story was made into the Hollywood film "Hotel Rwanda," starring Don Cheadle and Sophie Okonedo.
Binafsi, nilifikiri waendesha mashtaka wa Serikali ya Rwanda wange fanya juu chini ili kuhakikisha Rusesabagina anahukumiwa adhabu ya kifo - sina shaka Rusesa gotta nine lives like a CAT, yaani umetoka kwenye ndomo wa Mamba at the eleventh hour, ana bahati sana.
Vipi mbowe aache siasa?ila jamaa nae kiazi sana kwanini ajiingize kwenye siasa da ila watu wa usalama nyoka sana nasikia rafiki yake wa kalibu ndio alimuuza walijua wanaenda burundi akashangaa ndege imetua rwanda
Sijui ni kwa nini MBWA yule hafi hata kwa corona tu! Anaua, anatesa na kuwafunga wapinzani wake kadiri awezavyo! Na hakuna wa kumzuia.PK mhuni tu kama mwendazake.
umri umeenda atulie acheze na wajukuu heka heka awaachie vijana wakina mnyikaVipi mbowe aache siasa?
Paul Rusesabagina ni mhutu ambae wakati wa mauaji ya kimbari Rwanda, alishiriki katika kuwaokoa wa tutsi zaidi ya 1000 akiwemo mkewe na wanae, wasiuwawe. Aliwaficha kwenye hotel aliyokuwa akifanya kazi, na kwa ushirikiano wa vikosi vya UN na kidogo AU aliweza kuwatoro kinyume na matakwa ya wahutu wenzie.Naomba kufahamu kuhusu huyu aliyehukumiwa na uhusika wake katika filamu ya Hotel Rwanda,,
Hapana kapelekwa Hotel RwandaKwa hiyo kafungwa au
Ndio huko pia watampeleka gaidi aliyeshtakiwa tz?Hapana kapelekwa Hotel Rwanda
SafiPaul Rusesabagina ni mhutu ambae wakati wa mauaji ya kimbari Rwanda, alishiriki katika kuwaokoa wa tutsi zaidi ya 1000 akiwemo mkewe na wanae, wasiuwawe. Aliwaficha kwenye hotel aliyokuwa akifanya kazi, na kwa ushirikiano wa vikosi vya UN na kidogo AU aliweza kuwatoro kinyume na matakwa ya wahutu wenzie.
Hotel Rwanda ilikuwa ni filamu ya simulizi ya ujasiri huu aliyoufanya. Alipendwa na kuheshimika nchini na mpaka nje ya Rwanda, hataUlaya. Hatimae alikuja akawa rafiki pia wa Kagame. Uadui na Kagame ulianza alipokosoa mambo katika uendeshaji wa nchi.
Paul Rusesabagina ambae alikuwa raia wa Rwanda/Belgium alikimbia nchi na kujiunga na upinzani. Amehukumiwa miaka 25 jela kwa makosa ya kubambikiwa.
Mbona humtaji naniliu kwenye list?Muda utaongea tu rejea madikteta wote wote mwisho wao ulikuwaje,, mobutu seseko, samuel doe, blaise compoure, jean bokassa etc. Niseme tu ukweli kile kijamaa nakichukia sana
NDO maana yake, mzalendo wa kweli, mpenda haki anakomolewa.Kwa umri wake 25yrs ni life sentence tyari