Mashtaka dhidi ya Viongozi kama DCs na RCs ni ufunguo wa Mashtaka dhidi ya viongozi wa juu

Kama ulikuwa kichwani mwangu. Hizi sheria za kinga wanazojiwekea zinakuwa na nguvu kutegemea nani yuko madarakani.
Rais wa Malawi wa Sasa mchungaji Chakwera alizifuta kinga ndani ya masaa 24 na kuanza kuwawajibisha wote waliokuwa wanaleta za kuleta.
 
Sheria haianzii nyuma
Wewe acha kujidanganya. Nikupe mfano mdogo tu wa makato ya mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu. Wanafunzi walikuwa wamesaini 5 wengine 6 na wengine 8 jiwe akabadilisha kwenda 15. Sheria hii ikalamba wote
 
Rais wa nchi hii hastakiwi. Hiyo sheria ilipotishwa siku nyingi.
Ndiyo maana nimesema nikiwa rais nitazifuta. Nitamuamuru "Ndugai" wangu awaweke sawa wabunge ili wavifute vifungu vya katiba vinavyowapa kinga. Kisha nawatia mabaroni.
 
Kwani sheria ikitungwa leo, inarudi nyuma? Nijuacho inaanza kufanya kazi siku inapotungwa kwenda mbele... Atajayetenda kinyume wakati ipo, huyo ndo itamuhusu
Mbona kwenye mikopo ya wanafunzi ilirudi nyuma? Kama jiwe aliweza kuirudisha nyuma basi hata mm nitairudisha nyuma
 
Haya ni maono tu.
Leo hii tunashuhudia mashtaka na vifungo dhidi ya watawala ngazi ya mikoa na Wilaya.

Huu ni ufunguo wa mashtaka na vifungo dhidi ya viongozi ngazi ya juu.

Let's watch and see.

kwaherini kwa leo
WAPOLOO A.K.A WAHUNI

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wahuni mpooo!
 
Haya ni maono tu.
Leo hii tunashuhudia mashtaka na vifungo dhidi ya watawala ngazi ya mikoa na Wilaya.

Huu ni ufunguo wa mashtaka na vifungo dhidi ya viongozi ngazi ya juu.

Let's watch and see.

kwaherini kwa leo
WAPOLOO A.K.A WAHUNI

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
hata hao waliojiwekea uzio wa kisheria wasifikiri wapo salama saana, muda ukifika tutaondoa hizo sheria na hata kama wapo mochware tutawapandisha kizibani wajitu tuhuma zinazowakabili.
 
Haya ni maono tu.
Leo hii tunashuhudia mashtaka na vifungo dhidi ya watawala ngazi ya mikoa na Wilaya.

Huu ni ufunguo wa mashtaka na vifungo dhidi ya viongozi ngazi ya juu.

Let's watch and see.

kwaherini kwa leo
WAPOLOO A.K.A WAHUNI

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Walevi wa madaraka huenda Huko tuendako wanaweza kuachana na hicho kilevi
 
Haya ni maono tu.
Leo hii tunashuhudia mashtaka na vifungo dhidi ya watawala ngazi ya mikoa na Wilaya.

Huu ni ufunguo wa mashtaka na vifungo dhidi ya viongozi ngazi ya juu.

Let's watch and see.

kwaherini kwa leo
WAPOLOO A.K.A WAHUNI

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
UVCCM akili zimeanza kuamka? 😀
☝️ ☝️
 
CHADEMA kushika madaraka siyo rahisi labda mwaka 2055
Washindwe tu wenyewe kwa ujinga wao, lakini wakijipanga vizuri 2025, hata CCM wakitaka kutumia polisi na "Tume ya Uchafuzi" kama walivyozoea hawatatoboa.
Najua ukweli huo unakusumbua sana hapo ulipo.
 
Hivi hakunaga Sheria ya kumshtaki hata marehemu kama alifanya makosa makubwa?
 
Haya ni maono tu.
Leo hii tunashuhudia mashtaka na vifungo dhidi ya watawala ngazi ya mikoa na Wilaya.

Huu ni ufunguo wa mashtaka na vifungo dhidi ya viongozi ngazi ya juu.

Let's watch and see.

kwaherini kwa leo
WAPOLOO A.K.A WAHUNI

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tarehe 3 wala siyo mbali.
Itakuwa shangwe kama usiku ule wa 17.3
Yaani mtu apore mali za watu kwa kufanya kusingizia maovu Afu aachwe tu ??? KISA alikuwa DC au RC???
We siyo timamu kama jina lako
 
Haya ni maono tu.
Leo hii tunashuhudia mashtaka na vifungo dhidi ya watawala ngazi ya mikoa na Wilaya.

Huu ni ufunguo wa mashtaka na vifungo dhidi ya viongozi ngazi ya juu.

Let's watch and see.

kwaherini kwa leo
WAPOLOO A.K.A WAHUNI

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Na nyie watekaji je?
 
Nisumbuliwe na chama kilichojifia mwaka 2015 wakati mtuhumiwa wa ugaidi alipobadili gia angani. Pole sana.
Washindwe tu wenyewe kwa ujinga wao, lakini wakijipanga vizuri 2025, hata CCM wakitaka kutumia polisi na "Tume ya Uchafuzi" kama walivyozoea hawatatoboa.
Najua ukweli huo unakusumbua sana hapo ulipo.
 
Back
Top Bottom