Rais wa Malawi wa Sasa mchungaji Chakwera alizifuta kinga ndani ya masaa 24 na kuanza kuwawajibisha wote waliokuwa wanaleta za kuleta.Kama ulikuwa kichwani mwangu. Hizi sheria za kinga wanazojiwekea zinakuwa na nguvu kutegemea nani yuko madarakani.