Kufungwa kwa DC Sabaya na Atapohukumiwa Makonda kituunganishe sote wana CCM na wana CHADEMA kudai kuondolewa kwa kinga ya kushitakiwa viongozi wa juu ikiwemo Rais wa Jamhuri ya Tz! Huu upepo usiishie kwa hao dagaa wadogo walokuwa wakitimiza walichotumwa!Haya ni maono tu.
Leo hii tunashuhudia mashtaka na vifungo dhidi ya watawala ngazi ya mikoa na Wilaya.
Huu ni ufunguo wa mashtaka na vifungo dhidi ya viongozi ngazi ya juu.
lets watch and see.
kwaherini kwa leo
#WAPOLOO A.K.A WAHUNI
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!