Tukikwambia utupe ushahidi wa haya unayo sema unao ?Labda kama kwa rushwa au kwa kushirikiana na mawakili wa Tigo, in which case, lolote linawezekana popote pale. Ila kwa court proceedings zilizonyooka, hakuna connection ya yeye kukosa kazi na hilo la kukatwa pesa, maana huwezi kuacha kazi ya milioni 200 kisa unaogopa riba ya shs.100/=, it defies logic! Hakuna jaji ambae hajala rushwa na mwenye akili timamu, atakupa ushindi
Lakini,pili kukosa kazi kuna sababu nyingi,yawezekana alichelewa muda kidogo katika kutoka taarifa kulingana na jambo husika,likampelekea akakosa kazi husika.
Almuhimu kuhoji kwa "logic" huacha mambo mengi sana,na kuchukua yale tu ambayo akili inakubaliana nayo,kuna mambo mengi sana akili inakataa ila yana ukweli tupu.