Mashtaka dhidi ya Kampuni za Mawasiliano yanawezekana

Labda kama kwa rushwa au kwa kushirikiana na mawakili wa Tigo, in which case, lolote linawezekana popote pale. Ila kwa court proceedings zilizonyooka, hakuna connection ya yeye kukosa kazi na hilo la kukatwa pesa, maana huwezi kuacha kazi ya milioni 200 kisa unaogopa riba ya shs.100/=, it defies logic! Hakuna jaji ambae hajala rushwa na mwenye akili timamu, atakupa ushindi
Tukikwambia utupe ushahidi wa haya unayo sema unao ?

Lakini,pili kukosa kazi kuna sababu nyingi,yawezekana alichelewa muda kidogo katika kutoka taarifa kulingana na jambo husika,likampelekea akakosa kazi husika.

Almuhimu kuhoji kwa "logic" huacha mambo mengi sana,na kuchukua yale tu ambayo akili inakubaliana nayo,kuna mambo mengi sana akili inakataa ila yana ukweli tupu.
 
Kuacha kazi ya milioni 200 kwa kuogopa deni la shs.500/= ambalo angeweza kufidiwa baadae kama hivi ni mediocre na ni kuitukana mahakama, kwamba mahakama haina kazi za kufanya.
Hivi umejiuliza hiyo kazi ilikuwa katika mazingira gani na imekuwaje mpaka ametoka kifua mbele kudai fidia na hao walio mpa hiyo fidia wajinga,kwamba ilimradi tu ?

Tukikupa kazi ya wewe kusimamia jambo hilo na ukamfanya anae dai fidia asilipwe unaweza kufanya hivyo ?
 
Kukopa si lazima kwa nani? Kwa mhusika kama kweli aliitaka hiyo kazi ya 200mil. basi alikuwa na ulazima wa kukopa, ila kwakuwa hakuitaka hiyo pesa, akaacha kukopa, huwezi kuwashataki Dawasco kwa mifugo kufa kiu kisa walikata maji, ilihali kuna bwawa la maji la kulipia lilikuwepo pemebeni na anakopesha, huo ni uzembe wako mwenyewe
Nani amekwambia kukopa ni lazima ? Kwa sheria gani ?
 
Mbona rahisi tu ku justifies....

Iko hivi unapokua na salio kwenye simu huwazi kukopa tena wakati salio lipo

So Mwana anasimamia tu kuwa aliendelea kujiunga kwa takribani dk 10 to 20 akijua salio lipo hadi alipostuka kuwa hana salio na limekatwa kimakosa baada ya muda kupita na yeye kukosa deals zake at the same time !
 
Sio Kwamba Jamaa amelipwa yote m.200 Bali amelipwa kile Kile ambacho TCRA walimpa toka Awali.
Screenshot_20210622-120429.jpg
 
Sijajua ni kazi gani, tuseme mfano ni ajira ya muda mrefu ambayo akiipata ndo mshahara wa utumishi wake ndo ungeleta hiyo 200M hadi kustaafu!
We bwana

Kazi si lazima ya kuajiriwa

Hata tenda ni kazi

Hata dili la biashara au mkataba wa uwekezaji ni kazi
 
Jamaa alikatwa TZS 4,650/- na Tigo kimakosa katika huduma ya niwezeshe.

Akawashitaki TCRA na kutaka fidia ya shilingi milioni 200 sababu kitendo cha makato hayo kilimfanya ashindwe kuwasiliana na mteja wake na hivyo kukosa kazi.

TCRA walimpa fidia ya TZS 1.5M, jamaa kagoma na amekata rufaa.

An interesting case.View attachment 1825819
Huyu jamaa atashinda,ikiwa kuna mahali tigo walikili kwamba ni kweli walikata fedha zake kimakosa.Ila itabidi atunze ushaidi wake wote.

Atavuta Mpunga ikowa jamaa atathibitisha kuwa na biashara ya kuingiza kiwango hicho cha fedha.ila kama wewe ni mlala hoi hupati hata mia.mfano wombe benk statement kujiridhisha kwamba huyo jamaa ni mfanyabiashara wa level kubwa.

Why asilipwe?

Nadhani hii itakuwa fundisho kwa huu wizi wanaofanya
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom