Kwani si inabidi idhihirike kama hiyo kazi ingempa 200M
20k mkuu.Kinauzwa bei gani bro?
Labda kama kwa rushwa au kwa kushirikiana na mawakili wa Tigo, in which case, lolote linawezekana popote pale. Ila kwa court proceedings zilizonyooka, hakuna connection ya yeye kukosa kazi na hilo la kukatwa pesa, maana huwezi kuacha kazi ya milioni 200 kisa unaogopa riba ya shs.100/=, it defies logic! Hakuna jaji ambae hajala rushwa na mwenye akili timamu, atakupa ushindi
Kwa Undani zaidi Soma kitabu cha Ujasusi wa kidola na uchumi by Yericko Nyerere
Angekufa je? Au termination? Hiyo 200M ingepatikana?Sijajua ni kazi gani, tuseme mfano ni ajira ya muda mrefu ambayo akiipata ndo mshahara wa utumishi wake ndo ungeleta hiyo 200M hadi kustaafu!
Miaka fulani niliwahi kushitaki Baraza la mitihani Tanzania Kwa kunikosesha kufanya mtihani kama private candidate ili Hali walipokea malipo yangu na listi nilikuwa nayo, Bassi Tu Kwa vile serikali ni serikali wakanizingua kabla ya hukumu mwaka uliofuata Necta wakarejesha jina langu, hukumu ikayumbishwa eti mdaiwa alishanifidia Kwa kukubali kosa na kunipatia nafasi ya kufanya mtihani.Wakiwepo wabishi kama hao lazima heshima iwepo
Ova
Kukopa si lazima kwa nani? Kwa mhusika kama kweli aliitaka hiyo kazi ya 200mil. basi alikuwa na ulazima wa kukopa, ila kwakuwa hakuitaka hiyo pesa, akaacha kukopa, huwezi kuwashataki Dawasco kwa mifugo kufa kiu kisa walikata maji, ilihali kuna bwawa la maji la kulipia lilikuwepo pemebeni na anakopesha, huo ni uzembe wako mwenyeweUnaona sasa mzee unapoyumba? Kukopa ni lazima?
Achana na suala la kukopa. Mimi nataka utoe hukumu kwa case scenario niliyokupa hapo juu.
Kama alikopa mara ya kwanza na akakatwa, na ziada juu, means sifa za kukopa tena alikuwa nazoWhat if hakua na sifa za kukopa?
Bro you lack objectively. Kukopa sio lazima. Na cha msingi kabisa ni kuwa hakutaka kukopa na ndio maana akawa na salio kwenye simu yake ila wakamwibia.Kukopa si lazima kwa nani? Kwa mhusika kama kweli aliitaka hiyo kazi ya 200mil. basi alikuwa na ulazima wa kukopa, ila kwakuwa hakuitaka hiyo pesa, akaacha kukopa, huwezi kuwashataki Dawasco kwa mifugo kufa kiu kisa walikata maji, ilihali kuna bwawa la maji la kulipia lilikuwepo pemebeni na anakopesha, huo ni uzembe wako mwenyewe
Kama ni muislamu safi je Riba si haramu kwaoLabda kama kwa rushwa au kwa kushirikiana na mawakili wa Tigo, in which case, lolote linawezekana popote pale. Ila kwa court proceedings zilizonyooka, hakuna connection ya yeye kukosa kazi na hilo la kukatwa pesa, maana huwezi kuacha kazi ya milioni 200 kisa unaogopa riba ya shs.100/=, it defies logic! Hakuna jaji ambae hajala rushwa na mwenye akili timamu, atakupa ushindi
Sio lazima kukopa wala kulazimisha mambo.Tunataka Milioni hizo sisi.Ili wawe na adabu.Ni ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja
Kabisa mkuu hatutakiwi kuwa watu wa kupelekeshwaMiaka fulani niliwahi kushitaki Baraza la mitihani Tanzania Kwa kunikosesha kufanya mtihani kama private candidate ili Hali walipokea malipo yangu na listi nilikuwa nayo, Bassi Tu Kwa vile serikali ni serikali wakanizingua kabla ya hukumu mwaka uliofuata Necta wakarejesha jina langu, hukumu ikayumbishwa eti mdaiwa alishanifidia Kwa kukubali kosa na kunipatia nafasi ya kufanya mtihani.
Ila Kwa kuwa ni serikali na mara nyingi kesi kama hizo mahakama uegemea upande wa mwajiri wao basi nikaicha kesi.
Ila hata Mimi na ubush lawyer wangu huwa nacheza Sana na opportunity, ukijichanganya sikuachi hapo naamini mushikaji alishatengeneza mazingira ya kuonyesha alisababishiwa kushindwa. Yawezekana huyu kwamba ni mwanasheria au aliitwa kwenye interview na akawa na mchongo mwingine, hivo ni rahisi Sana kujustify kuwa alishindwa kuwasiliana mteja wake.
Angekufa je? Au termination? Hiyo 200M ingepatikana?
Sio kwamba na hukumu, its logic, na mahakamani wanabase kwenye logic and common sense huku wakizingatia msimamo wa sheria unasemaje
Yaweza isijengewe hoja ila inatosha kufikirisha. Alijihakikishiaje kwamba ni lazima atapata 200MKwenye mkataba huwa hakuna kipengere cha endapo utakufa au kufukuzwa. Tukiacha hayo, basi angalau sema ikiwa angeikosa hata hiyo kazi yenyewe…. lakini hayo yote huwezi kuyajengea hoja.
Wewe ndo umemkwamisha haijalishi jamaa angefeli usaili au vyovyote.
Aliekwambia mkopo unapewa mara 2 ni nani?Ni ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja
Wewe unaweza rudisha b2Je bilioni 2 wamezirudisha? Hiyo imeshatoka hiyoo