Mashoga wanatakiwa wapewe adhabu ya kifo hapo ndio tutaokoa kizazi hiki

Hivi kweli K ilivyo tamu nikaangaike na shimo la tewa kweli? Big no!!!
basi wapo wenzio wanaacha K hiyo tamu, nakufata shimo la tewa tena wananyenyekea kabisa na kuwa wapole, wanahusudu mno. Kupanga n kuchagua.
 
Pamoja na kwamba siyo mshabiki wa huo ushoga wengine tungependa kujiuliza maswali kadhaa. Je akiwa shoga anakukosesha chakula cha siku? Unashindwa kutafuta hela kwa namna yako? Washindwa kufanya mapenzi na mpenzi au mke wako? Anakuibia mali au fedha? Anakudhulumu? Kakukosesha maji au umeme? Yeye shoga ndio sababu ya shida zako kimaisha? Kukosa miundo mbinu ni yeye? Kuwa na viongozi wababaishaji au kwa maneno ya ‘slow slow’ kuwa baadhi ni ‘wahuni’ ni sababu ya shoga? Kulimwa matozo lumbesa ni shoga? Ukijibu ndiyo basi kweli wauliwe. Ila nakubali na kushutumu tabia za ushoga kutuwekea usoni. Its not normal. Ila ushoga haujaletwa na wakoloni wa kizungu au waarabu (znz na pemba) ila umekuwepo tangu enzi hizo. Ila ulifichika. Siri na dhambi ya familia. Hakuna solution zaidi ya kuhimiza msituringishie usoni basi. Wafanye huko huko kwa raha zao.
Maneno bora kabisa haya. Ubarikiwe sana.
 
Kwa nini unawafuatulia mashoga, kwa nini unawawaza? Je una interest nao, chanya au hasi, wamekudhuru kwa lipi, wamekuudhi kwa lipi?

Akitokea mtoto wako au ndugu yako akawa shoga utamuua ?
Wameleta madhara kiasi gani.
Je wamevunja haki zako ?
Je wapo wangapi? Kwa nini wameamua kuwa mashoga.
Je unaouthibitisho kama unaowaona ni mashoga au unasikia tu kama mimi huku njombe.

Kwa nini mimi naishi hata miaka 2 huo msamiati haupo kichwani mwangu, kwa nini wewe unakuzunguka kichwani mwako?
Is it a big issue in TZ.
Je una mamkaka na mwili wa mtu mwingine?
Binafsi naamini mtu mbaya ni yule anaedhilumu haki ya mwnine, kama mwizi,muuaji,mbakaji wa watoto, mdhulumati nk mtu wa hisia kwangu hana nafasi kwa sababu hajaingilia uhuru wangu. Iwapo atakuja kunilazimisha nimfanyie ushoga kwa nguvu, huyo anastahili adhabu kwa sababu kaingilia uhuru wangu vinginevyo aendelee na maisha yake.
Nimekuwa nikijiuliza swali hivi kwa nini binadamu mmoja ampangie binadamu mwenzie jinsi ya kuishi, kuamini na kuamua!
Maadili ya jamii ni uwongo mtupu, maadili yapo katika mtu mmoja mmoja, hivyo pigania maadili yako na familia yako vinginevyo utakosa raha bule kwa sababu ya watu wengine waliokengeuka dhidi ya jamii.
haya maswali kaulize magasho wenzako
 
Kwa nini unawafuatulia mashoga, kwa nini unawawaza? Je una interest nao, chanya au hasi, wamekudhuru kwa lipi, wamekuudhi kwa lipi?

Akitokea mtoto wako au ndugu yako akawa shoga utamuua ?
Wameleta madhara kiasi gani.
Je wamevunja haki zako ?
Je wapo wangapi? Kwa nini wameamua kuwa mashoga.
Je unaouthibitisho kama unaowaona ni mashoga au unasikia tu kama mimi huku njombe.

Kwa nini mimi naishi hata miaka 2 huo msamiati haupo kichwani mwangu, kwa nini wewe unakuzunguka kichwani mwako?
Is it a big issue in TZ.
Je una mamkaka na mwili wa mtu mwingine?
Binafsi naamini mtu mbaya ni yule anaedhilumu haki ya mwnine, kama mwizi,muuaji,mbakaji wa watoto, mdhulumati nk mtu wa hisia kwangu hana nafasi kwa sababu hajaingilia uhuru wangu. Iwapo atakuja kunilazimisha nimfanyie ushoga kwa nguvu, huyo anastahili adhabu kwa sababu kaingilia uhuru wangu vinginevyo aendelee na maisha yake.
Nimekuwa nikijiuliza swali hivi kwa nini binadamu mmoja ampangie binadamu mwenzie jinsi ya kuishi, kuamini na kuamua!
Maadili ya jamii ni uwongo mtupu, maadili yapo katika mtu mmoja mmoja, hivyo pigania maadili yako na familia yako vinginevyo utakosa raha bule kwa sababu ya watu wengine waliokengeuka dhidi ya jamii.
Umeandika vema sana, lkn kwa vile Tanzania only 0.00000000999 can think , watakaokuelewa ni wachache.
To me , sioni sababu ya kuingilia mtu kama anataka kutumia mwili wake kwa mambo yake binafsi! as long as haingilii uhuru wa mtu mwingine...
 
Umeandika vema sana, lkn kwa vile Tanzania only 0.00000000999 can think , watakaokuelewa ni wachache.
To me , sioni sababu ya kuingilia mtu kama anataka kutumia mwili wake kwa mambo yake binafsi! as long as haingilii uhuru wa mtu mwingine...
nyie magasho bora mpigwe kiberiti tuu
 
Umeandika vema sana, lkn kwa vile Tanzania only 0.00000000999 can think , watakaokuelewa ni wachache.
To me , sioni sababu ya kuingilia mtu kama anataka kutumia mwili wake kwa mambo yake binafsi! as long as haingilii uhuru wa mtu mwingine...
Good. Guuudi kabisa. Halafu anatokea mtu huko atokeako anapendekeza hukumu ya kuwaua HAO ambao wala hawamhusu kwa namna yoyote ile - Inasikitisha sana.
Ingefaa kuelewa mfano huu: Mashariki na Magharibi ni Opposite to each Other BUT they stay together in opposite directions. i.e Tunaishi ktk Jamii moja lakini ndani yake wapo mashoga jambo ambalo ni kinyume na hatulipendi ila Hatuna sababu ya kuwaua (Eliminate) Mashoga. Let them alone; mind ur own Business.
 
Ushoga ni dhambi! Sisi binadamu haituhusu, mwenye kujua ubaya wa dhambi hii ni Mungu aliyetuumba.
Acha upumbavu kutaka kuwa mtoa adhabu hiyo. Kama unataka kuwaua mashoga jihakikishe wewe mwenyewe kuwa ni mtakatifu...yaani huibi, sio mzinzi wala mwasherati, sio muongo nk.
Acha kujifanya una chuki nao wakati haikuhusu.
Au wewe nawe unaogopa kufilwa ikifika zamu yako.
Ingekuwa kufilwa kunauma au kuna maumivu, mashoga wasingekuwepo.
Lakini wao wenyewe wanajipromote kuwa wanapenda hiyo kitu.
Achana nao
We utakua mkristu. Amjielewagi nyie
 
Kabla kutoa hukumu ya kuwaua mashoga, ni vema mleta mada kwanza ungejifunza au kutafiti kidogo masuala kadhaa kuhusu ushoga. Ni muhimu ungejiuliza ushoga ni nini na unasababishwa na nini? Ungejiuliza ushoga ulianza lini na kwanini umeendelea kuwepo miaka yote hii? Na je utaendelea kuwepo au hautakuwepo? Je watu hulazimishwa au hutenda kwa hiyari yao wenyewe? Nini hasa kinawavutia kuingia kwenye ushoga?
Wa dawa za kulevya nao hakizao ziko wapi?? Mpaka wapewe tu mashoga??
 
Back
Top Bottom