The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
Sijui hii adha nakutana nayo mimi mwenyewe au kuna watu wengine wanakabiliana na hii hali.
Niliacha kutumia facebook kwa sababu ya usumbufu wa mashoga, tena vijana wadogo kabisa na wengine watu wazima, nikahamia twitter na Instagram, sasa naanza kukabiliana na hali ile ile iliyoko facebook. Sasa sijui nikimbilie wapi au tunaokutana na hali kama hii tukimbilie wapi.
Mtu anakufollow, kisha bila hata kukuuliza kama wewe ni mpenzi wa makalio yeye nakutumia tu picha ya makalio yake bila ridhaa yako, sijajua kama ni kubahatisha ila jamani mashoga mnatukwaza wengine.
Jamani watu wengine hatupendi makalio yanu, mimi napenda makalio ya wanawake lakini kwa kuyaangalia na kuyashikashika na kuyachezea tu na si vinginevyo. Msitusumbue.
Niliacha kutumia facebook kwa sababu ya usumbufu wa mashoga, tena vijana wadogo kabisa na wengine watu wazima, nikahamia twitter na Instagram, sasa naanza kukabiliana na hali ile ile iliyoko facebook. Sasa sijui nikimbilie wapi au tunaokutana na hali kama hii tukimbilie wapi.
Mtu anakufollow, kisha bila hata kukuuliza kama wewe ni mpenzi wa makalio yeye nakutumia tu picha ya makalio yake bila ridhaa yako, sijajua kama ni kubahatisha ila jamani mashoga mnatukwaza wengine.
Jamani watu wengine hatupendi makalio yanu, mimi napenda makalio ya wanawake lakini kwa kuyaangalia na kuyashikashika na kuyachezea tu na si vinginevyo. Msitusumbue.