Hii ni moja ya facts na hatari sana katika kuzalisha mashoga,wazazi kujisahau mtoto wa kiume anaunganishwa na dada zake halafu wanazungushwa beach na mama

Au Mtoto wa kiume kutembea na mama yake muda Mwingi hasa anapoenda kwa Mashoga zake kusogoa

Inshort mtoto wa kiume akianza tu kujitambua anatakiwa kuandamana na Baba yake issue Inakuja siku hizi watoto wengi wanazaliwa out of wedlock’s au wanalelewa na single mamas kwahiyo ana kosa kwa namba moja au nyingine malezi muhimu ya Baba !

Kingine ni ule upendo wa mama zetu kwa watoto anashindwa kukubali at age of 5 huyu mtoto wa kiume ameshakuwa anahitaji kuanza kupata miongozo ya uanaume!wai wako busy kuwapamba na kuwavalisha na kuzunguka nao kwenye masaluni
Hili nalo neno
 
Haya ni mawazo potofu kabisa. Ushoga siyo tabia ni jinsia mtu anazaliwa shoga, hajifunzi kuwa shoga hata aishi na mashoga, tena ulaya mashoga wanaoana na wanaruhusiwa ku adopt mtoto na analelewa na wazazi mashoga na anakuwa mtu wa kawaida kabisa siyo shoga.

Kama hamjasoma biolojia hata ya form 2, ni kwamba binadamu anazaliwa kwa maelekezo ya DNA ambazo zinabeba chromosomes x na y ambapo male wana xy na female wana xx, ambapo ikitokea confusion kwenye chromosomes basi tatizo litaweza kusababisha imbalances hata kwenye sexual hormones ambapo male wanatakiwa wawe na testosterone na female wanatakiwa wawe na estrogen na progesterone badala yake unakuta male ana testosterone na estrogen na progesterone au female ana estrogen, progesterone na testosterone.

Sasa ikitokea kwenye DNA mimba imetungwa na mtoto wa kiume ana hormones za estrogen na progesterone huyo ni mwanaume kwa umbile ila mihemuko yake yote na hisia zake ni za kike , na ikitokea mtoto wa kike kazaliwa na hormones za testosterone basi huyo ni umbile la kike ila mihemuko yake na hisia ni za kiume.

Kwahiyo ushoga siyo swala la tabia za kuiga wala malezi ni hormones za kuzaliwa nazo yaani hata upige ugalagaze huwezi kumbadili tabia shoga awe mwanaume kama wengine ni sawa na kumpaka rangi albino awe mweusi haiwezekani ni swala la kibailojia.
Uongo mtupu huu!
 
Acha ujinga, mtoto siku zote akili yake inakuwa haija komaa na ndio maana kuna wengine unaweza ukamlaghai hata kwa pipi, PS au hata movies. So kuna washenzi wanatumia nafasi hii ya udhaifu wa ukomavu mdogo wa akili za mtoto kuwalaghai na kuwaingilia.

Mimi kuna jamaa yangu nimekuwa nae tokea mtoto, miaka minne iliyopita nikaambiwa jamaa analiwa na aliye muaanza alimshawishi kwa hizi movie za Mkandala kipindi tukiwa watoto,yeye alikuwa anaingia bure.Halafu yule jamaa aliye mfanyia hivyo kahamia Chanika na kazi yake ilikuwa hiyo hiyo ya kuonyesha movies, kama ndio tabia yake hivi mpaka sasa atakuwa kaharibu wangapi?

Juzi tu kama sikosei Iringa, jamaa mmiliki wa PS kawalawiti watoto zaidi 10,hivi hawa nao walionyesha dalili? Ndio wapo walio ingia kwa tamaa zao, ila majority wamelubuniwa wakati wakiwa watoto sababu akili zao hazi kupevuka na wengine wazazi walishindwa kutimiza wajibu wao.
Yes ,huyo wa Iringa ni mtaa wa karibu kutoka home,alikuwa mwanachuo,chuo cha Tumaini kamaliza Education, wakati anasubiri ajira ndo akawa anakodisha hizo movie sijui,kumbe anawafanyia michezo watt!
Muuza chips jirani anakwambia alikuwa ananunua ht chips za elf 10 basi watt wanajaa kwake balaa,anaondoka na mmoja mmoja.
Kuna dada mwalimu namfahamu akasema amewahi kuishi nae km mpangaji mwenzie nyumba moja akiwa anasoma anasema hajawahi kumuona akiwa na msichana zaidi ya watt,so walijua ni mtu anapenda tu watoto hawakuwahi kufikiria kuwa anawaingilia kinyume!
Sa pata picha watt wangapi amewaharibu?
 
Chief na hizi tamthilia zilizoongezeka sasa za kusapoti haya mambo, ukigeuka huku kuna yule mtoto Dullyvan, huku instagram kina Juma yule kwisa, noel kale n.k

Issue sio malezi tu, huu upuuzi unapigiwa debe sana sasa hvi, hali inasikitisha sana, unaingia bar kupata starehe zako anakuja mtoto wa kiume anakurambia midomo nae eti anadanga, dah unaeza jikuta unapata kesi na jamhuri hivi hivi

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kama izo sio ishu zako puuza na wafukuzie mbali huko, ishu zinakuzwa kwasababu watu wanapenda kuwafatilia sana.

Mambo kama hayo kama hayakuhusu pita ivi, hilo la kusema kusitisha ni haiwezekani sema tu kama lipo kwenye kaya yako basi shuulika nalo ila kama lipo mbali nawe lipuuze. Hizi kufatilia nani kawaje na kawa vipi ni kuwapa umaarufu sana.

Nakupa mfano mmoja mkuu, mtaani kwetu kuna bwabwa na anaufurahia ubwabwa wake kiasi kwamba anafurahia ule umaarufu anaoupata kama hao kina james delicious. Mtu kama huyo jamii ikimpuuza na mambo yake haitaathiri saana kama kila kukicha akawa anaongelewa.
 
Sio kweli. Ukipata muda ukamuona kijana shoga hebu keti nae na anza kumhoji kuhusu makuzi yake na namna ameanza hayo maswala utajifunza kitu.
Mkuu nilishawahoji kadhaa.

Nilichohitimisha ni hicho.

Ingawa kuna wachache kama usemavyo wameathiriwa na makuzi
 
Mashoga hapo Dar mnawatengeneza wenyewe kwa kuwalawiti watoto halafu mnakuja kulialia hapa JF
Hili nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa. Ufirauni imekuwa kama fashion ya wanaume wengi wa Dar. Na mra nyingi watu huanzia kwa wanawake. Wanaume wengi siku hizi wanawalawiti wapenzi wao wa kike. Ina maana akishazoea ni rahisi kufanya hivyo kwa mwanaume mwenzake.
 
Kipindi nasoma sekondari ya NYABULOGOYA-NYEGEZI(mwanza) nakumbuka ilikuwa siku ya sherehe flani ya UKWATA.

Nilipewa kazi ya kufunga matent,baada ya kumaliza ile kazi sasa nikasema wacha niende kule chooni nikaoge na mimi niulambe machomeko nikakae kwenye table,katika harakati za kwenda chooni kuoga nikakutana na rafki angu anaitwa Maruguabili huyu yeye alikuwa wamepanga geto anaishi na kaka yake afu geto lilikuwa karibu sana na shule.

Huyo rafiki akaniambia acha kuoga chooni twende gheto ukaoge kwa utulivu na raha,nikakubali tukaenda.Alivyofika akanipa funguo za gheto na kunionesha bafu wanalotumia maana pale kila mpangaji anatumia bafu lake kisha yeye akarudi shule kuendelea na kazi ya kufata kreti za soda kwa ajili ya sherehe.

PICHA LINAPOANZA SASA
Nikaenda kuoga fresh nikaingia gheto kujifuta na kupaka mafuta sasa si mnajua wengi vitu kama vioo hivi huvipachika madirishani ili wakati anajichana au kujiona uso anakuwa anapata mwanga fresh na kioo kinampa taswira yake,pia hivyo ndivyo ilivyokuwa kwangu.

Wakati najichana nywele nipo usawa wa dirisha naangalia kioo pia upande wa kule nje unaweza kuutazama vyema nikaona jamaa almost baadae nilikuja kuambiwa alikuwa form3 anasoma shule (taqwa au thaqafa)apa nmesahau shule halisi ila ni kati ya hizo.

Katika kutazama kwangu nikaona amezunguka nyuma ya nyumba na watoto almost wakizidi sana ni darasa la 3 wale watoto walikuwa kama 3 hivi na yeye wa 4.

Akawaambia wale wawili kuwa waende atawaita badae akabaki na dogo mmoja apo mimi nipo upande wa pili tena ndani ya chumba hanioni ila sikujua ana ajenda gani nikaonama kujipaka mafuta na kubrash viatu,sasa wakati na simama hivi nimeshavaa suruali najiangalia kwenye kioo kilocho usawa wa dirisha nione mavazi yamenikaaje asee kwa mara ya kwanza nikaona mwanaume anamuingilia yule dogo tena dogo wa kiume na dogo yupo anachekelea.

Nilipata hasira nikatoka nje chap nikatafta mbugu(kuni) ya fasta fasta kuzunguka kule nyuma nikamrushia na kumtukanq yule jamaa aache ujinga huo lakin ile mbugu ilikwama kwenye fence ya senyenge na mimi sikuweza iruka jamaa yule akakimbilia ndani napia kale katoto kakuzubaa kidgo nakenyewe kakafata mbio kwenda ndani ila nikaona yule dogo kashazoeshwa maana nilipomuona alikuwa anachekelea tu nazani malinda yalikua tayari yashatatuliwa kitambo.

Baada ya muda yule refki yangu alikuja nikamueleza lile tukio na akaniambia jina la uyo kijana nikamueleza na mtoto aliyefanyiwa pia akanipa jina lake.Apo pia ndiyo niliambiwa kuwa anasoma form 3 shule tajwa apo juu basi mimi nikasema twende tukameipoti kwa mama yake lakni yule rafki yangu pamoja na wapangaji wengine pale maana waliniona kipindi natoka ndani nakimbia kumfata yule jamaa aloyekua anamgeuza dogo hivyo wakanishauri niache tu kwasababu uyo kijana analelewa kishoga na mama yake ambaye hapendi mwanae akosorewe.

Basi nikaipiga chini nikarudi kwenye sherehe kula wali ila kinyonge
Ulifanya makosa sana. Suala linalohusisha mtoto mdogo ulitakiwa uripoti polisi. Mtoto mdogo hana akili hivyo anatakiwa kulindwa na sisi wakubwa.
 
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar

Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar

Sidhani kama kuna mtaa dar ambao hauna mashoga mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake haonekani kama ni shoga wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia ukimuona unasema ni kidume wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao

Hapa ofisi nayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu

Sijui kama miaka michache kutakua na wanaume marijali wengi itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8

Hali ni mbaya sana hapa dar kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar hivi tatizo ninini?Yaani limekua ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume mungu nilindie kizazi changu uwiii wanaume kwanini hivyo lakini?
 
IMG-20210818-WA0184.jpg
 
Kama izo sio ishu zako puuza na wafukuzie mbali huko, ishu zinakuzwa kwasababu watu wanapenda kuwafatilia sana.

Mambo kama hayo kama hayakuhusu pita ivi, hilo la kusema kusitisha ni haiwezekani sema tu kama lipo kwenye kaya yako basi shuulika nalo ila kama lipo mbali nawe lipuuze. Hizi kufatilia nani kawaje na kawa vipi ni kuwapa umaarufu sana.

Nakupa mfano mmoja mkuu, mtaani kwetu kuna bwabwa na anaufurahia ubwabwa wake kiasi kwamba anafurahia ule umaarufu anaoupata kama hao kina james delicious. Mtu kama huyo jamii ikimpuuza na mambo yake haitaathiri saana kama kila kukicha akawa anaongelewa.

kupuuza inawezekana.lakini sijui kama umewaza kuhusu lika la watoto wadogo wanajifunza kitu gani!!!

nikupe mfano kupitia serikali inavyo handle hili swala.
ni kosa kisheria watu kunyanduana,lakini haiingilii faragha ya mtu au watu,isipokuwa kosa atakapoianika faragha yake.
kama anafanya siri ni sawa tu.
 
67 Reactions
Reply
Back
Top Bottom