Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,623
Eti hebu wazia hilo tendo tu halafu mtu anakwambia ni biologically made.... Wakati ni ugonjwa wa kiakili.Watu wanakosoa kazi ya Muumba, aliweka sehemu ya kutolea hewa chafu na vitu ambavyo havihitajiki mwilini, ninyi mnaenda kinyume na Mungu. Mungu anawaona!!