Elections 2010 Mashirika ya umma kuchota hazina kwa ajili ya 2010/ccm

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,144
Baada ya kuona sasa hakuna njia ya kuiba BOT Serikali ya CHAMA CHA MAJAMBAZI imeanza kutumia mashirika ya UMMA kuchota fedha hazina kwa ajili ya kampeni 2010
Akiongea kwa minajili ya kutotajwa msemaji wa chanzo hicho amesema mashirika ya umma yamkuwa yakichota pesa nying sana hazina na mwisho kushindwa kufanyiwa auditing kujua zimetuka ngapi....baadhi ya mshirika yaliyotumiwa kuchota fedha HAZINA ni ATCL..TRA na sasa wako mbioni kuanza KUCHOTA KWA AJILI YA NIC....habari zaidi zinasema katika kila mgao unaotoka HAZINA chama kina fungu lake ambalo mkurugenzi wa shirika anatakiwa kutafuta jinsi ya kureplace hilo deni kwenye makaratasi...
sijui kama tutafika kwa system hii na kumbe ndio maana hata jf tuandike mara miamoja wananchi walie na kutembea barabarani akuna atakaeguswa kwa lolote kwenye ubadhirifu wa fedha kutokana na kulinda sera za chama cha majambazi.....
 
Ndio maana Mattaka anawekwa huku na huku nini! kuhakikisha anasimamia vizuri? Lakini yoote yatajulikana tuu, za mwizi ni 40
 
wewe sheikh yahya nini..wacha mataka wengi tu wanakuja
 
hizi taarifa ni za kweli? au za vijiweni? ni vyema kupata ukweli na kupiga kelele kwa nguvu zote maana sie wabongo huwa tunaacha vitu vifanyike ndiyo baadaye tuje kulaumu
 
Baada ya kuona sasa hakuna njia ya kuiba BOT Serikali ya CHAMA CHA MAJAMBAZI imeanza kutumia mashirika ya UMMA kuchota fedha hazina kwa ajili ya kampeni 2010
Akiongea kwa minajili ya kutotajwa msemaji wa chanzo hicho amesema mashirika ya umma yamkuwa yakichota pesa nying sana hazina na mwisho kushindwa kufanyiwa auditing kujua zimetuka ngapi....baadhi ya mshirika yaliyotumiwa kuchota fedha HAZINA ni ATCL..TRA na sasa wako mbioni kuanza KUCHOTA KWA AJILI YA NIC....habari zaidi zinasema katika kila mgao unaotoka HAZINA chama kina fungu lake ambalo mkurugenzi wa shirika anatakiwa kutafuta jinsi ya kureplace hilo deni kwenye makaratasi...
sijui kama tutafika kwa system hii na kumbe ndio maana hata jf tuandike mara miamoja wananchi walie na kutembea barabarani akuna atakaeguswa kwa lolote kwenye ubadhirifu wa fedha kutokana na kulinda sera za chama cha majambazi.....

Siku za mwizi ni arobaini!!
 
Baada ya kuona sasa hakuna njia ya kuiba BOT Serikali ya CHAMA CHA MAJAMBAZI imeanza kutumia mashirika ya UMMA kuchota fedha hazina kwa ajili ya kampeni 2010
Akiongea kwa minajili ya kutotajwa msemaji wa chanzo hicho amesema mashirika ya umma yamkuwa yakichota pesa nying sana hazina na mwisho kushindwa kufanyiwa auditing kujua zimetuka ngapi....baadhi ya mshirika yaliyotumiwa kuchota fedha HAZINA ni ATCL..TRA na sasa wako mbioni kuanza KUCHOTA KWA AJILI YA NIC....habari zaidi zinasema katika kila mgao unaotoka HAZINA chama kina fungu lake ambalo mkurugenzi wa shirika anatakiwa kutafuta jinsi ya kureplace hilo deni kwenye makaratasi...
sijui kama tutafika kwa system hii na kumbe ndio maana hata jf tuandike mara miamoja wananchi walie na kutembea barabarani akuna atakaeguswa kwa lolote kwenye ubadhirifu wa fedha kutokana na kulinda sera za chama cha majambazi.....

Big N.O. Wananchi wakilia na kutembea kwa nguvu na umoja...wataguswa tu. Ninahisi mifuko ya pensheni itatumika sana 2010
 
Back
Top Bottom