Msaada waungwana wana JF natafuta mashirika ya ujenzi wa nyumba Dar. nakusudia mashirika ambayo mnapatana na yenyeewe yanakujengea nyumba na kukukabidhi kwa mujibu wa ramani yako. Mwenye kufahamu naomba anifahamishe na hata makisio ya gharama zake kwa nyumba ya vyumba vinne, (master 2), jiko, dining na kadhalika kwa mfano gharama zake zikoje na kuna mashirika ya aina hiyo hapo Bongo?