lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,126
- 33,156
Wakati wa vita baridi cold war pamoja na mashindano ya kutngeneza silaha kali duniani weapons race, mashirika ya ujasusi yalikua yakichuana vikali sana,hasa pande mbili kati ya USSR na USA.USSR ilikua na washirika wake wa Warsaw Pact,na USA ikiwa na washirika wake wa NATO.
Kwa hali hiyo kila upande ukifanya jambo fulani upande mwingine unapinga kwa kila namna.Hali hii ilipelekea ujasusi mkubwa kutamalaki baina ya pande hizi ,kuchunguzana,kuibiana siri,kuhujumiana.
Hali hiyo ilipelkea URUSI kupambana na majasusi wa Marekani na washirika wake,baadhi yao ni
majasusi wa USA vs KGB,GRU,SVR etc
majasusi wa Uingereza vs KGB,GRU,SVR etc
Majasusi wa ujerumani magharibi vs KGB,GRU,SVR etc
Majasusi wa Israel vs KGB,GRU,SVR etc
Majasusi wa Pakistan vs KGB,GRU,SVR hapa ni wakati wa vita ya USSR nchini Afghanistan etc
Majasusi wa NATO vs KGB,GRU,SVR etc
Majasusi wa China vs KGB,GRU,SVR hapa ni wakati wa vita ya USSR nchini Afghanistani
n.k
Wakati wa vita ya USSR dhidi ya Mujahidin nchini Afghanistan USSR ilikua inapigana na mujahidini waliokua wakipewaa sapoti ya silaha, ujasusi na fedha na mataifa ya USA,UK,NATO,China,Pakistan,Saudi Arabia etc
Hawa wote walikabilana ana kwa ana vikali sana na KGB,SVR ,GRU etc.
Nahitimisha kusema kuwa inawezekana kuwa Urusi ina majasusi imara na jeshi imara sana kuliko nchi yeyote ile.
Marekani ilikua ikitoa silaha kali sana kuwapa mujahidini kuangamiza magege na vifaru vya USSR/URUSI,sio tu Marekani bali pia nchi nyingine zilitoa fedha silaha na ujasusi mfano ni china,pakistani,saudia,na baadhi ya memba wa NATO.
Hii inaonesha kuwa huenda Urusi ina jeshi kali na imara sana na ujasusi imara na makini sana.
UWEZO MWINGINE
Baada ya kuvunjika muungano wa kisovieti nchi nyingi zilizokua sehemu ya ya USSR zilizojitenga ziliondoka nasiri nyingi sana za muundo wa kijasusi na kijeshi wa USSR nyingi ziliuza siri hizo kwa US na wenzie,lakini Urusi ya sasa ikaja na miffumo mipya haraka ambayo wa west bado wanashindwa kupenya kirahisi,kijeshi na kijasusi,mfano Ukraine na Georgia n.k hawa watakua wametoa siri nyingi sana lakini haioneshi kuiathiri pakubwa RF-Russian Federation
Kwa hali hiyo kila upande ukifanya jambo fulani upande mwingine unapinga kwa kila namna.Hali hii ilipelekea ujasusi mkubwa kutamalaki baina ya pande hizi ,kuchunguzana,kuibiana siri,kuhujumiana.
Hali hiyo ilipelkea URUSI kupambana na majasusi wa Marekani na washirika wake,baadhi yao ni
majasusi wa USA vs KGB,GRU,SVR etc
majasusi wa Uingereza vs KGB,GRU,SVR etc
Majasusi wa ujerumani magharibi vs KGB,GRU,SVR etc
Majasusi wa Israel vs KGB,GRU,SVR etc
Majasusi wa Pakistan vs KGB,GRU,SVR hapa ni wakati wa vita ya USSR nchini Afghanistan etc
Majasusi wa NATO vs KGB,GRU,SVR etc
Majasusi wa China vs KGB,GRU,SVR hapa ni wakati wa vita ya USSR nchini Afghanistani
n.k
Wakati wa vita ya USSR dhidi ya Mujahidin nchini Afghanistan USSR ilikua inapigana na mujahidini waliokua wakipewaa sapoti ya silaha, ujasusi na fedha na mataifa ya USA,UK,NATO,China,Pakistan,Saudi Arabia etc
Hawa wote walikabilana ana kwa ana vikali sana na KGB,SVR ,GRU etc.
Nahitimisha kusema kuwa inawezekana kuwa Urusi ina majasusi imara na jeshi imara sana kuliko nchi yeyote ile.
Marekani ilikua ikitoa silaha kali sana kuwapa mujahidini kuangamiza magege na vifaru vya USSR/URUSI,sio tu Marekani bali pia nchi nyingine zilitoa fedha silaha na ujasusi mfano ni china,pakistani,saudia,na baadhi ya memba wa NATO.
Hii inaonesha kuwa huenda Urusi ina jeshi kali na imara sana na ujasusi imara na makini sana.
UWEZO MWINGINE
Baada ya kuvunjika muungano wa kisovieti nchi nyingi zilizokua sehemu ya ya USSR zilizojitenga ziliondoka nasiri nyingi sana za muundo wa kijasusi na kijeshi wa USSR nyingi ziliuza siri hizo kwa US na wenzie,lakini Urusi ya sasa ikaja na miffumo mipya haraka ambayo wa west bado wanashindwa kupenya kirahisi,kijeshi na kijasusi,mfano Ukraine na Georgia n.k hawa watakua wametoa siri nyingi sana lakini haioneshi kuiathiri pakubwa RF-Russian Federation