BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Ninafahamu mashirika ya TANAPA/NCAA kazi yake ni kusimamia hifadhi za taifa pamoja na hifadhi ya Ngorongoro. Kazi yao ni kusimamia kwa maana ya kutunza ili nature iendelee kuwepo ili wanyama waendelee kuwepo. Kazi ya kutangaza utalii wa nchi ni kazi ya TTB - Tanzania Tourists Board pamoja na makampuni yenyewe ya utalii.
Chakushangaza sasa hawa mabwana wa TANAPA/NCAA wanatumia pesa nyingi sana na muda mwingi kwenye kusafiri nje ya nchi kwa kisingizio cha kufanya marketing kitu ambacho si kazi yao.
Chakushangaza sasa hawa mabwana wa TANAPA/NCAA wanatumia pesa nyingi sana na muda mwingi kwenye kusafiri nje ya nchi kwa kisingizio cha kufanya marketing kitu ambacho si kazi yao.