Matamko na Tahadhari zinapotolewa na wataalam;
Serikali za kiafrika hasa Tanzania kumekuwa na kasumba ya baaadhi ya mamlaka/mashirika kujitoa kuwajibika ipasavyo kwa watu wake!
Je, tahadhari hii ya kimbunga awamu hii Taasisi na mashirika mmejipangaje kupunguza hatari ya kimbunga kiafya na kisaikolojia?
Wakuu na wakurugenzi wa Taasisi zifuatazo toeni majibu, maana nafaham zipo za kitaasisi na zipo za sisi kama wanainchi mmojammoja!
Hii kasumba ya mamlaka kutokuwajibika kwa wakati tukiiendekeza itakuja kupenya hadi kwenye majeshi yetu! Vita ikitokea utashangaa TUNATANGULIZWA RAIA tukapigane!
Maana navyowafahamu viongozi wetu Majanga yanapokuja WOTE hugeuka wachungaji na kuja na vifungu vya BIBILIA!
NAOMBA KILA MTU ATIMIZE WAJIBU WAKE!
Ya wachungaji tuwaachie wachungaji
Serikali za kiafrika hasa Tanzania kumekuwa na kasumba ya baaadhi ya mamlaka/mashirika kujitoa kuwajibika ipasavyo kwa watu wake!
Je, tahadhari hii ya kimbunga awamu hii Taasisi na mashirika mmejipangaje kupunguza hatari ya kimbunga kiafya na kisaikolojia?
Wakuu na wakurugenzi wa Taasisi zifuatazo toeni majibu, maana nafaham zipo za kitaasisi na zipo za sisi kama wanainchi mmojammoja!
- Watu wa TEMESA- mmejipangaje na VIVUKO vyenu? Au Mnasubiri hadi vipeperushwe na kimbunga? Mnaonaje mkaomba RATRA Watoe TRB za mda kwa mabus yaongezeke kupita bure darajani ili kuchukua abiria kigamboni ili MSIMAMISHE VIVUKO KWA MDA?
- Watu wa Zimamoto na uokoaji, Mmejipangaje Kutoa elimu za namna ya kuwapata kirahisi kwasababu inatazamiwa kimbunga kikitokea nataraji hata network haitakuwepo automatic! Ni vitu gani mnawashauri watu wawe navyo?
- TAA mmejipangaje kuwapunguzia usumbufu abiria wa kukata tiketi then muahirishe safari za ndege ghafla? Mmejipangaje kuondoa usumbufu huo wa kisaikolojia?
- Watu wa TARURA na TANROADS mmejipangaje kuhakikisha barabara zinapitika! Yapo maeneo kuna miti na miembe mikubwa barabarani iliyo katika hatari ya kuanguka je TARURA mmekosa hata mafuta ya kuweka kwenye CHAINSAWS ili mfanye BUSH CLEARING kwenye wings road mnazosimamia ktk maeneo yenu kuondoa hatari hizo?
- TANESCO sina shaka na nyie maana mnafahamika wazee wa shortcut ya KUKATA umeme! Hamnaga tabu na mtu kabisa! Lakini vipi zile nguzo mbovu au bajeti hairuhusu?
- TCRA Wazee wa minara mpo au hampo? Nafaham mabando yamegoma kushuka lakini vipi! Kimbunga kwenye minara ya simu mnasemaje? Mmewaoa Tahadhari wakaazi wa karibu na minara?
Hii kasumba ya mamlaka kutokuwajibika kwa wakati tukiiendekeza itakuja kupenya hadi kwenye majeshi yetu! Vita ikitokea utashangaa TUNATANGULIZWA RAIA tukapigane!
Maana navyowafahamu viongozi wetu Majanga yanapokuja WOTE hugeuka wachungaji na kuja na vifungu vya BIBILIA!
NAOMBA KILA MTU ATIMIZE WAJIBU WAKE!
Ya wachungaji tuwaachie wachungaji