Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,418
- 37,627
Sawa.Mnyonge mnyongeni, Angekuwepo Magufuli hawa Ma CEO wangekaa majumbani kwao na 'mafi' Yao.
Sawa.Mnyonge mnyongeni, Angekuwepo Magufuli hawa Ma CEO wangekaa majumbani kwao na 'mafi' Yao.
Yakikaguliwa haya kwa uhuru uwazi na bila kificho...kitaumana
Kalemani ni binamu wa aliyekuwa Rais Hyatt JPM na kuna Fedha nyingi sana imechotwa TANESCO kwenda kwenye miradi ya Chato State House, Chato Airport na Chato/Burigi National Park!Kwa TANESCO Kalemani ana la kujibu
Hiyo ilikuwa ni kiini macho tu cha kuhalalisha UPIGAJI!Lakini karibuni yote hapo tuliona yakitoa gawio kwa serekali
Mnyonge mnyongeni, Angekuwepo Magufuli hawa Ma CEO wangekaa majumbani kwao na 'mafi' Yao.
Na mama kakaa kimya tu.Taasisi ambazo hazikuwasilisha hesabu zake kukaguliwa.
1. Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
2. Kampuni ya Mbolea Tanzania
3. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
4. Mfuko wa UTT
5. Shirika la Magazeti Tanzania
6. Shirika la Posta Tanzania
7. Shirika la Reli Tanzania
8. Shirika la Simu Tanzania
9. Shirika la Umeme Tanzania
10. Solo la Bidhaa Tanzania
11. Taasisi ya Mifupa Muhimbili.
View attachment 1753581