Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Nimemuangalia hapa anavyo jibu maswali ya charlz hilary hakika CHADEMA mnapote kabisaaaa naona msemaji wenu mwenye kujibu hoja alikuwa lissu pekee huyu katibu wenu naye ni mzigo kwenu ,
Anajibu maswali huku anatoka nje swali alilo ulizwa , maelezo hayajitoshelezi , maswali magumu majibu mepesi hahaaaaaaa aisee CHADEMA mnahali mbaya kwa staili hii lazima chama kife maana wajenga hoja wamewaishia , na kitakufa hakika.
Anajibu maswali huku anatoka nje swali alilo ulizwa , maelezo hayajitoshelezi , maswali magumu majibu mepesi hahaaaaaaa aisee CHADEMA mnahali mbaya kwa staili hii lazima chama kife maana wajenga hoja wamewaishia , na kitakufa hakika.