Mashinji: Kuna watu wana PhD lakini wanaharibu ajira badala ya kutengeneza

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Akiwa ktk Msiba wa Mzee Ndesamburo huko Kilimanjaro, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt Vincent Mashinji amesikika akirusha dongo kwa msomi wa PhD (likely Magufuli) kwa namna ya mafumbo.

"Kuna watu wana Doctorate lakini wanatumia elimu zao kuharibu ajira, Ndesamburo ameitumia kutengeneza ajira kwa wengine", amesema Mashinji.

Je, huu ndio mwanzo wa 'nitoke vipi' ya Katibu Mkuu huyu mkimya!?
 
Akiwa ktk Msiba wa Mzee Ndesamburo huko Kilimanjaro, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt Vincent Mashinji amesikika akirusha dongo kwa msomi wa PhD (likely Magufuli) kwa namna ya mafumbo.

"Kuna watu wana Doctorate lakini wanatumia elimu zao kuharibu ajira, Ndesamburo ameitumia kutengeneza ajira kwa wengine", amesema Mashinji.

Je, huu ndio mwanzo wa 'nitoke vipi' ya Katibu Mkuu huyu mkimya!?

Amesema ukweli tu,Ndesapesa ametumia PhD yake kutenda mema na kutengeneza ajira.Hakusahau maendeleo ya watu wake bila kujali itikadi zao.
 
Hutaki Chadema waongoze nchi?

Labda kuwe na TUME huru kabisa ,tume hii inayoogopa hata kutoa ushauri kwa RAIS?Kama RPC anataka Mbowe aombe ruhusa kwa IGP ili akodishe vyombo vya brassband ya polisi na ni biashara ndugu ,ujue hatuka pazuri
 
Labda kuwe na TUME huru kabisa ,tume hii inayoogopa hata kutoa ushauri kwa RAIS?Kama RPC anataka Mbowe aombe ruhusa kwa IGP ili akodishe vyombo vya brassband ya polisi na ni biashara ndugu ,ujue hatuka pazuri
Hahaha mkuu unacharanga maneno sana!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kumbe huyo jamaa naye huwa anaongea?

Basi mi nikadhani labda ni bubu flani hivi...
 
Akiwa ktk Msiba wa Mzee Ndesamburo huko Kilimanjaro, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt Vincent Mashinji amesikika akirusha dongo kwa msomi wa PhD (likely Magufuli) kwa namna ya mafumbo.

"Kuna watu wana Doctorate lakini wanatumia elimu zao kuharibu ajira, Ndesamburo ameitumia kutengeneza ajira kwa wengine", amesema Mashinji.

Je, huu ndio mwanzo wa 'nitoke vipi' ya Katibu Mkuu huyu mkimya!?

Yeye Mashinji amefanya nini la maana zaidi ya kuuwa CHADEMA? Bure kabisa.
 
Kumbe huyo jamaa naye huwa anaongea?
Basi mi nikadhani labda ni bubu flani hivi...
Anajilazimisha tu, sio haiba yake kabisa..
Walimwona mzuri kwa migomo ya Hospital wakaamini atamudu siasa za upinzani, kakutana na uhalisia tofauti na nadharia zake.. System..
 
Anajilazimisha tu, sio haiba yake kabisa..
Walimwona mzuri kwa migomo ya Hospital wakaamini atamudu siasa za upinzani, kakutana na uhalisia tofauti na nadharia zake.. System..

Nadhani ni namna mtu alivyo tu akizoea purukushani za siasa atakuwa mzuri tu
 
Ni kweli kabisa,wapo wasomi ama wanasiasa weng wenye PhD ambao wanachochea au kusababisha hali ngumu au ukosefu wa ajira.kwa maana hawaitumii vzuri zaidi elimu waliyopata kuzalisha ajira na kujenga uchumi hata wakipewa nafasi za uongozi wa juu.
nadhani watu,kama hao hawana mchango wala umuhimu kwa jamii ni wa kupuuzwa tu.
 
Ni kweli kabisa,wapo wasomi ama wanasiasa weng wenye PhD ambao wanachochea au kusababisha hali ngumu au ukosefu wa ajira.kwa maana hawaitumii vzuri zaidi elimu waliyopata kuzalisha ajira na kujenga uchumi hata wakipewa nafasi za uongozi wa juu.
nadhani watu,kama hao hawana mchango wala umuhimu kwa jamii ni wa kupuuzwa tu.

Huwezi kaka ndiyo walioshika mpini
 
Akiwa ktk Msiba wa Mzee Ndesamburo huko Kilimanjaro, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt Vincent Mashinji amesikika akirusha dongo kwa msomi wa PhD (likely Magufuli) kwa namna ya mafumbo.

"Kuna watu wana Doctorate lakini wanatumia elimu zao kuharibu ajira, Ndesamburo ameitumia kutengeneza ajira kwa wengine", amesema Mashinji.

Je, huu ndio mwanzo wa 'nitoke vipi' ya Katibu Mkuu huyu mkimya!?

Mwenye picha ya katibu mkuu wa cdm aweke tumuone.
 
Akiwa ktk Msiba wa Mzee Ndesamburo huko Kilimanjaro, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt Vincent Mashinji amesikika akirusha dongo kwa msomi wa PhD (likely Magufuli) kwa namna ya mafumbo.

"Kuna watu wana Doctorate lakini wanatumia elimu zao kuharibu ajira, Ndesamburo ameitumia kutengeneza ajira kwa wengine", amesema Mashinji.

Je, huu ndio mwanzo wa 'nitoke vipi' ya Katibu Mkuu huyu mkimya!?
Huyu naye ni zero kabisa, nani alimwambia ajira ni matokeo ya PhD?
 
Back
Top Bottom