yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,226
- 4,894
Nasikia huyu ndio atapambana na JPM 2020...
Source ya huko ulikosikia itakuwa ni kwa wale matahira Wa pale Lumumba
Nasikia huyu ndio atapambana na JPM 2020...
Hivi unaweza kuwa na PhD halafu usijue kingereza kweli??Akiwa ktk Msiba wa Mzee Ndesamburo huko Kilimanjaro, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt Vincent Mashinji amesikika akirusha dongo kwa msomi wa PhD (likely Magufuli) kwa namna ya mafumbo.
"Kuna watu wana Doctorate lakini wanatumia elimu zao kuharibu ajira, Ndesamburo ameitumia kutengeneza ajira kwa wengine", amesema Mashinji.
Je, huu ndio mwanzo wa 'nitoke vipi' ya Katibu Mkuu huyu mkimya!?
hata hivyo sio wa kuwawazia kabisa mkuu.acha wao waendelee kupeta na kuwanyima wengine kwa makusudi lakini ipo siku yao.Huwezi kaka ndiyo walioshika mpini
yani hata vyuoni ndo iko ivo,wanafunzi au mtu anasoma degree anakuwa na akili na busara kumzidi professor au doctor wake.Hakuna tofauti PhD,degree na masters,Wa degree anaweza kuwa mzuri kuliko wote,kwa masters na PhD za kukariri yaani ni Burr kabisa.
U thought he is like u.. An imbecile!Kumbe huyo jamaa naye huwa anaongea?
Basi mi nikadhani labda ni bubu flani hivi...
wasimpe lisu, lisu abaki bungeni tu toshaWasithubutu! Watapoteza mapema sana. Bora wampe nafasi Lissu tuone vumbi!
Kabisa mkuuAmesema ukweli tu,Ndesapesa ametumia PhD yake kutenda mema na kutengeneza ajira.Hakusahau maendeleo ya watu wake bila kujali itikadi zao.
Mkuu kama vile umesema kweliukweli ndo huo Mkulu wenu Ana PHD ya magumashi na chanzo cha kumpoteza Ben saanane coz alikuwa anakosoa Phd yake