Mashine za VAT bei yake halis hii hapa.Ni ufisadi mtupu TRA imetufanyia watanzania

Wana JF,

Hizi Electronic System Device za TRA jamini zilipaswa kufanyiwa uchunguzi sana kabla ya kufanya installation zake kwanini nasema hivyo, Tulipoamua tuingie kwanye mfumo wa Soko huria kweli hatukuja nini kitakuja mbeleni esp kwa ukusanyaji wa Mapato kila Raia au mfanya biashara alijitungia system yake ya kuuza means watu walikuja na software zao madukani kukidhi kile wao watakacho sasa TRA ikaja nyuma baada ya miaka mingi kushindwa kubuni ni jinsi gani ya kukusanya mapato na ndio ikaja na hiyo system ya ESD wengine wanaziita EFD, ukiangalia kwa umakini utakuta watu wengi wametupilia mbali system zao au software zao kwa ajili ya mfumo huu mpya wa TRA ambao kwa kipindi hichi watumiaji wengi wata experience alot of troubleshooting ambayo TRA wanapaswa kuivumilia na hapo hapo sidhani kama TRA wa expertise wa kuicheck hizo system interms of Handle the Whole Database storage za wateja wao.

Nacho hofia sana TRA ilisha kuja na style nyingine ya kutuma Emails na unatuma mahesabu yako kwa mwezi na ikafa na niliipinga live kwa email hadi makao makuu kuwaambia system yao imekuwa Unsuccessful, sasa wamekuja na hizi za wireless machine sijui waliziiga toka nchi gani hapa twacheza pata potea in two years mtaniambia kama serikali haitobadili mfumo wake na kuwa black and white then tutakuwa twatwanga maji kwa kinu miaka ijayo yote na tutakuwa twapoteza mapato huku watu wajanja wanakula Kodi za watanzania bure
 
Ucdanganye wananchi, kila kitu ni sawa tofauti ni ku ipgram ni kama accounting apckage unatoa i print invoice ikionyesha nn na nn, eg kama unatumia Tally au Myob au Pastel zitatofautiana setting kutegemea na Nature ya Biashara,Mfano setting ya Manufacturing haiwezi kuwa sawa na na mwenye duka la Wholesale....Hapo changes wamefanya kwenye Tax Payer Name, VAT % na Currency tu.....wakiendelea sana tutaacha uzalendo tuanze kuzichakachua maana tunaweza,,,receipt inatoka but machine hai keep record,hii ndiyo bongo

salute!
 
Wana JF,

Hizi Electronic System Device za TRA jamini zilipaswa kufanyiwa uchunguzi sana kabla ya kufanya installation zake kwanini nasema hivyo, Tulipoamua tuingie kwanye mfumo wa Soko huria kweli hatukuja nini kitakuja mbeleni esp kwa ukusanyaji wa Mapato kila Raia au mfanya biashara alijitungia system yake ya kuuza means watu walikuja na software zao madukani kukidhi kile wao watakacho sasa TRA ikaja nyuma baada ya miaka mingi kushindwa kubuni ni jinsi gani ya kukusanya mapato na ndio ikaja na hiyo system ya ESD wengine wanaziita EFD, ukiangalia kwa umakini utakuta watu wengi wametupilia mbali system zao au software zao kwa ajili ya mfumo huu mpya wa TRA ambao kwa kipindi hichi watumiaji wengi wata experience alot of troubleshooting ambayo TRA wanapaswa kuivumilia na hapo hapo sidhani kama TRA wa expertise wa kuicheck hizo system interms of Handle the Whole Database storage za wateja wao.

Nacho hofia sana TRA ilisha kuja na style nyingine ya kutuma Emails na unatuma mahesabu yako kwa mwezi na ikafa na niliipinga live kwa email hadi makao makuu kuwaambia system yao imekuwa Unsuccessful, sasa wamekuja na hizi za wireless machine sijui waliziiga toka nchi gani hapa twacheza pata potea in two years mtaniambia kama serikali haitobadili mfumo wake na kuwa black and white then tutakuwa twatwanga maji kwa kinu miaka ijayo yote na tutakuwa twapoteza mapato huku watu wajanja wanakula Kodi za watanzania bure

wel,i suport 100% wrt efd's,though hii siyo system/software,ni mode 2 ya kutoa receipts! Lengo ni kuhamasisha utamaduni wa kutoa receipt kwa kila mauzo yanayofanyika! Nikuthibitishie 2 kwamba e-filing VAT returns haijafa,na ni mfumo mzur zaid wa kuepuka makosa kwnye returns zetu na kupunguza paperwork! Kujaza yale ma VAT forms esp details za suppliers manualy ni kero jmn,ii ya e-filing imerahsisha sn! Ukiilewa vema,ni mfumo mzur tafuta kujua zaid!
 
Kwa kweli kaka huu ni wizi mtupu.nakuunga mkono kuwa hii issue ya hivi videvice.Huu ni mradi wa watu wa TRA,Ndugu zao au marafiki ili wapate manufaa kwa kuwaibia watanzania.kwanini watuuzie hii device kwa bei kubwa halafu sisi as tax payers tupate refund ya kurudishiwa kwa kukatwa kenye kodi ambayo tungelipa?who is on the losing end at the end of the day?of coz serikali ita loose.And who will benefit at the end of the day?of coz the companies that were appointed by TRA to supply these devices.Naomba haya makampuni yaliyo pewa hii zabuni ya kusupply hizi devices yafanyiwe uchunguzi ili kujua niyanani na yana uhusiano gani na kama yana uhusiano na maofisa wa TRA.Inawezekana kwenye kila mauzo kuna 10% yao wanayopata.let's fight for our country and the bad system
TRA wanatulazimisha tununue mashine za VAT kwa watu wao kwa bei mara 6 ya bei halisi ya bei mashine hizo. Kwa mfano Wakala wake anauza mashine ya DP-50 kwa shs 1,600,000. Hii mashine nimeifuatilia kwenye mtandao inauzwa Lei 560, hizi ni sawa na Euro 137 au shs 280,000 za ki- Tanzania. Sijaona kwenye mtandao ambako hii machine inauza zaidi ya euro 200 yaani shs 400,000. Hivi TRA wana maana gani kulazimisha watu wanunue hizi mashine kwa 1,600,000. Ushahidi wa bei niliyo taja upo hapa
http://www.aparaturafiscala.ro/design/pdf/Cash%20registers.pdf. Wana JF wataniuliza kwanini hii issue sikuipeleka kwenye biashara? Nikwa sababu huu ni ufisadi na ufisadi ni siasa zinazo ingilia biashara. TRA mnatupeleka wapi?:redfaces:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom