Hizi camera tatu hawawezi kununua zingine? Hizo laptop si wanunue tu zingine..
MChezo wa kizamani sana umefanya Mrisho Gambo, Jerry Muro na MaCCM wenzio. Mmechukua mashine ili mjitengezee vitamburisho vingi. Badae mpate kutengeza vitamburisho feki vya kupigia kura kwa wingi.
Hakuna mashine iliobiwa zipo kwa Mkuu wa mkoa.
Nchi imekua ya hovyo sana hii
Nemo judex in Causa Suakamateni wafanyakazi wote wa NIDA wikaya mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa hata ikiwezekana mkurugenzi wote wawekwe ndani kwa uzembe.
Wajinga nyinyi halafu bado utamsikia mtu anaropoka kuwa kufikia tarehe 20 anazima line za simu
ivi umevuta bangi ya wapi...? vitambulisho vya nida na vya kupigia kula wapi na wapi...?MChezo wa kizamani sana umefanya Mrisho Gambo, Jerry Muro na MaCCM wenzio. Mmechukua mashine ili mjitengezee vitamburisho vingi. Badae mpate kutengeza vitamburisho feki vya kupigia kura kwa wingi.
Hakuna mashine iliobiwa zipo kwa Mkuu wa mkoa.
Nchi imekua ya hovyo sana hii
Hahahaha udikteta uchwara.kamateni wafanyakazi wote wa NIDA wikaya mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa hata ikiwezekana mkurugenzi wote wawekwe ndani kwa uzembe.
Tumia kichwa cha juu kidogo utakumbuka kuwa ikifika muda wa kujiandikisha vitambulisho vya kura, lazima uonyeshe kile cha Nida.ivi umevuta bangi ya wapi...? vitambulisho vya nida na vya kupigia kula wapi na wapi...?
Hao Wanaweza kuwabaini wanaotarajia kujinyonga tu, inshu za msingi zote hawawezi"Interigensia" ya Polishi ilishindwaje kubaini??
Nashauri watumie “Dogstyle” kuwatia nguvuni wezi, au mbinu ile ya Mwakalukwa (Tabora) ya kuwabaini wanaopanga kujinyonga.... intelijensia inafeli wapi..?
Bilashaka NIDA ndio wameibiwa ila mashine zimeibwa!!!!Zimeibiwa au zimeibwa?
Amandla.......
Na huu ndio ukweliMChezo wa kizamani sana umefanya Mrisho Gambo, Jerry Muro na MaCCM wenzio. Mmechukua mashine ili mjitengezee vitamburisho vingi. Badae mpate kutengeza vitamburisho feki vya kupigia kura kwa wingi.
Hakuna mashine iliobiwa zipo kwa Mkuu wa mkoa.
Nchi imekua ya hovyo sana hii