Mashine za NIDA zote wilaya ya Arusha zaibwa

polisi kuweni tu na subira, hao jamaa wameona tabu kupanga foleni... waacheni watumie weee wakimaliza kujisajiri watawarudishia...
 
Siyo kweli
Kama walikuwa na nia hiyo haina hata haja ya kusema vimeibiwa isipokuwa wangeagiza tu baada ya zoezi kuwa vipelekwe kwa mkuu wa mkoa au wilaya, kwani nani angekataa?
MChezo wa kizamani sana umefanya Mrisho Gambo, Jerry Muro na MaCCM wenzio. Mmechukua mashine ili mjitengezee vitamburisho vingi. Badae mpate kutengeza vitamburisho feki vya kupigia kura kwa wingi.
Hakuna mashine iliobiwa zipo kwa Mkuu wa mkoa.

Nchi imekua ya hovyo sana hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MChezo wa kizamani sana umefanya Mrisho Gambo, Jerry Muro na MaCCM wenzio. Mmechukua mashine ili mjitengezee vitamburisho vingi. Badae mpate kutengeza vitamburisho feki vya kupigia kura kwa wingi.
Hakuna mashine iliobiwa zipo kwa Mkuu wa mkoa.

Nchi imekua ya hovyo sana hii
ivi umevuta bangi ya wapi...? vitambulisho vya nida na vya kupigia kula wapi na wapi...?
 
MChezo wa kizamani sana umefanya Mrisho Gambo, Jerry Muro na MaCCM wenzio. Mmechukua mashine ili mjitengezee vitamburisho vingi. Badae mpate kutengeza vitamburisho feki vya kupigia kura kwa wingi.
Hakuna mashine iliobiwa zipo kwa Mkuu wa mkoa.

Nchi imekua ya hovyo sana hii
Na huu ndio ukweli
 
Kuna baadhi ya viongozi wanatafutwa ili watumbuliwe ndio njia iliotumika ili kuwapata
 
Back
Top Bottom