KERO Mashine za Mpunga zimekuwa kero na hatari kwa Afya za watu hapa Soko la SIDO - Mbeya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mwanongwa

JF-Expert Member
Feb 15, 2023
539
531
Hivi Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya pamoja na Watu wako wa Mipango Miji wakati mlipokuwa mnawahamishia Wafanyabiashara katika Soko la Sido hivi mlifikiria suala la afya zao?

Mlikuwa mnajua kabisa kwamba lile ni eneo la viwanda ilikuwaje mkawahamishia Wafanyabiashara pale?

Kipindi hiki mtu ukienda katika Soko hilo unakuta mapumba yametapakaa kila sehemu na kusababisha magonjwa ya kifua na mafua kwa Wafanyabiashara na Watu wengine.

Soko la Sido lipo katika eneo linalomilikiwa na Shirika la Viwanda Vidogo na eneo hilo lipo katikati ya Jiji la Mbeya.

Mashine za mpunga pamoja na zile za kukamua Alizeti vikiwemo viwanda vya sababuni na mafuta ya kupaka vyote vipo katika eneo hilo.

Hivi imeshindikana kabisa kuwarudisha Wafanyabiashara katika Soko la Mwanjelwa?

Kama imeshindikana basi hamisheni hivi viwanda ambavyo vipo katika eneo hilo na vikafungwe kule Iyunga ambako ndiko limetengwa eneo la viwanda.

Hizi mashine hasa za mpunga zimekuwa kero kubwa sana hapa sokoni, yaani upepo ukipuliza tu ni tatizo, Soko zima linatapakaa mapumba ya mpunga.

Mbaya zaidi pumba zimekuwa mengi na wahusika hawana sehemu ya kuzipeleka, hivyo zinabaki zikijaa eneo hilo.

Mwanongwa nawakumbusha tu kuwa afya ya binadamu ni Bora kuliko fedha.

DSC_0156.JPG
DSC_0154.JPG
DSC_0158.JPG

 
Tanzania hapa hakuna anaejali mipango Miji na hasa huko Mbeya.

Hao wafanyabiashara waliochagua wenyewe hapo Sido.

Mwisho unawekaje viwanda hapo Mjini Kwa nini visiende Uyole,Mbalizi na maeneo mengine ya Nje ya Mji?
Na ajabu maeneo tajwa yana maeneo yaliyotengwa kwaajili ya shughuli za viwanda. Inaonekana viongozi ni kama wana waogopa wanambeya kwasababu ya ujeuri wao usio na kichwa wala miguu.
 
Hivi Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya pamoja na Watu wako wa Mipango Miji wakati mlipokuwa mnawahamishia Wafanyabiashara katika Soko la Sido hivi mlifikiria suala la afya zao?

Mlikuwa mnajua kabisa kwamba lile ni eneo la viwanda ilikuwaje mkawahamishia Wafanyabiashara pale?

Kipindi hiki mtu ukienda katika Soko hilo unakuta mapumba yametapakaa kila sehemu na kusababisha magonjwa ya kifua na mafua kwa Wafanyabiashara na Watu wengine.

Soko la Sido lipo katika eneo linalomilikiwa na Shirika la Viwanda Vidogo na eneo hilo lipo katikati ya Jiji la Mbeya.

Mashine za mpunga pamoja na zile za kukamua Alizeti vikiwemo viwanda vya sababuni na mafuta ya kupaka vyote vipo katika eneo hilo.

Hivi imeshindikana kabisa kuwarudisha Wafanyabiashara katika Soko la Mwanjelwa?

Kama imeshindikana basi hamisheni hivi viwanda ambavyo vipo katika eneo hilo na vikafungwe kule Iyunga ambako ndiko limetengwa eneo la viwanda.

Hizi mashine hasa za mpunga zimekuwa kero kubwa sana hapa sokoni, yaani upepo ukipuliza tu ni tatizo, Soko zima linatapakaa mapumba ya mpunga.

Mbaya zaidi pumba zimekuwa mengi na wahusika hawana sehemu ya kuzipeleka, hivyo zinabaki zikijaa eneo hilo.

Mwanongwa nawakumbusha tu kuwa afya ya binadamu ni Bora kuliko fedha.

View attachment 3147602View attachment 3147603View attachment 3147604
View attachment 3147605
Watasema muende soko la Mwanjelwa
 
Hivi Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya pamoja na Watu wako wa Mipango Miji wakati mlipokuwa mnawahamishia Wafanyabiashara katika Soko la Sido hivi mlifikiria suala la afya zao?

Mlikuwa mnajua kabisa kwamba lile ni eneo la viwanda ilikuwaje mkawahamishia Wafanyabiashara pale?

Kipindi hiki mtu ukienda katika Soko hilo unakuta mapumba yametapakaa kila sehemu na kusababisha magonjwa ya kifua na mafua kwa Wafanyabiashara na Watu wengine.

Soko la Sido lipo katika eneo linalomilikiwa na Shirika la Viwanda Vidogo na eneo hilo lipo katikati ya Jiji la Mbeya.

Mashine za mpunga pamoja na zile za kukamua Alizeti vikiwemo viwanda vya sababuni na mafuta ya kupaka vyote vipo katika eneo hilo.

Hivi imeshindikana kabisa kuwarudisha Wafanyabiashara katika Soko la Mwanjelwa?

Kama imeshindikana basi hamisheni hivi viwanda ambavyo vipo katika eneo hilo na vikafungwe kule Iyunga ambako ndiko limetengwa eneo la viwanda.

Hizi mashine hasa za mpunga zimekuwa kero kubwa sana hapa sokoni, yaani upepo ukipuliza tu ni tatizo, Soko zima linatapakaa mapumba ya mpunga.

Mbaya zaidi pumba zimekuwa mengi na wahusika hawana sehemu ya kuzipeleka, hivyo zinabaki zikijaa eneo hilo.

Mwanongwa nawakumbusha tu kuwa afya ya binadamu ni Bora kuliko fedha.

View attachment 3147602View attachment 3147603View attachment 3147604
View attachment 3147605
Unaeshauri viwanda vihamishwe unajua hasara za kuhamisha biashara toka sehemu uliyo tengeneza wateja kwenda sehemu ambayo utaanza upya kutafta soko hao wafanya biashara wa sido wao ndio wakaidi walisha goma kurudi mwanjerwa saabu nao wanajua hama hama ina vuruga mzunguko wa biashara
 
Unaeshauri viwanda vihamishwe unajua hasara za kuhamisha biashara toka sehemu uliyo tengeneza wateja kwenda sehemu ambayo utaanza upya kutafta soko hao wafanya biashara wa sido wao ndio wakaidi walisha goma kurudi mwanjerwa saabu nao wanajua hama hama ina vuruga mzunguko wa biashara
Hahahahahaha
 
Back
Top Bottom