Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,265
- 3,177
Wakuu nauliza mashine za bei rahisi hasa hizi local za kusaga, kuchanganya na kutengeneza pellets za mifugo kwa hapa Tanzania zinapatikana wapi na kwa bei gani? Nataka hizi ndogo kabisa zinazotumia umeme wa single phase.
Sitaki majibu ya agiza China, ninajua China ipo na local zipo nataka hizi local za kizalendo.
Ndogo na ambazo zinahamishika kirahisi.
cc bluetooth
Sitaki majibu ya agiza China, ninajua China ipo na local zipo nataka hizi local za kizalendo.
Ndogo na ambazo zinahamishika kirahisi.
cc bluetooth