wakomong'we
Member
- Oct 28, 2011
- 30
- 2
wakuu wana Board poleni kwa majukumu mazito mlionayo.Hoja yangu ni kutaka kujua ufanisi wa mashine ya selcom na hudama zake zote ukilinganishi na ile ya Maxcom,mimi ni mtumiaji wa mashine ya maxcom naitumia kwa huduma mbalimbali ikiwemo LUKU,M PESA,Voucher n.k.Sasa nilihitaji kujua je hawa Selcom wana huduma gani tofauti na hawa maxcom?Naamini sana katika JF.Ahsanteni sana