antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,115
- 118,128
Miche 150 Kwa saa? Kwa anayeanza Ni mingi mno!
Hakuna mashine ndogo kama ya Miche 50 Kwa saa kupunguza gharama?
Na je, inatumia nishati gani, mafuta au umeme?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miche 150 Kwa saa? Kwa anayeanza Ni mingi mno!
Tupo kulifanyia utafiti hili Mkuu ipatikane mashine ndogo shida ipo kwenye vifaaMiche 150 Kwa saa, Kwa anayeanza Ni mingi mno!
Hakuna mashine ndogo kama ya Miche 50 Kwa saa kupunguza gharama?
Na je, inatumia nishati gani, mafuta au umeme?
Ok.. itakuwa nzuri kwa viwanda vidogoTupo kulifanyia utafiti hili Mkuu ipatikane mashine ndogo shida ipo kwenye vifaa
asante sana Mkuu tupo kuwajali wajasiriamali wadogoOk.. itakuwa nzuri kwa viwanda vidogo
Ndio Mkuu mradi ipo katika mfumo Wa mche inatengenezwahizo machine za kutengeneza sabuni za mche pia zaweza tengeneza sabuni za kuogea?
Mashine inaboreshwa Mkuu mwanzo ilikuwa simple mixer Kwa sasa ni mixer Kubwa Lita 300 yenye control temperatureHii machine, kama miezi minne iliyopita ulinambia 7.5M, Leo imedouble! Basi sawa
Naomba unipe picha za mashine hiyo kupitia 0788 628 696Kwetu maana tuna mjali mteja hasa anaeanza mashine hii ni million saba na nusu tu ikiwa complete kabisa uwezo wake ukiwa miche 150 kwa saa
Unalipa asilimia 75% ofisini kwetu ndipo tunaanza kutengeneza siku Tisa inakuwa tayari karibu vingunguti 0762612213
Sent using Jamii Forums mobile app