Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
Habari. Mpaka tarehe ya leo ninayofanya hii update ktk stock kuna mashine ya umeme yenye uwezo wa Ku produce gunia 8 kwa siku zile kubwa kabisa. Kwa chini kuna picha. Inatumia umeme single phase. Bei yake ni sh. 950,000 haishuki. Kwa bei hiyo utapata on site training pamoja na pipa bure. Kwa mashine hii utatoa mkaa wa kisasa mweusi na kuni za kisasa za kaki kutokana by na maranda na makapi ya mpunga. Ktk utengenezaji wa kuni hautachoma malighafi km wakati wa kutengeneza mkaa inavyokuwa. Ukishalipia malipo utapata training ya kutosha pamoja na jinsi ya Ku market na kutengeneza brand
Kuni za maranda
0758 308 193
Kuni za maranda
0758 308 193