MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,049
nifanyieni hata kitchen party mwenzenu mniletee jiko
hahaha sie tunavyopenda shughuli we tuambie tu mapemaaaaaaaaaaa
nifanyieni hata kitchen party mwenzenu mniletee jiko
Linauzwa bei gani jko lako kwenye picha hapo juu?
mimi naitumia hii hapa ,haina haja ya kuchuja ,inasaga mara moja kila kitu kinakuwa uji. kama ni tango au embe au karoti ukiosha vizuri unasaga na maganda yake pia inaokoa muda maana unakunywa huko huko unatoa mashine unaweka mfuniko.ina vijagi vya ziada pia .dar kariakoo ni elf 75,village supermarket niliona hyo hyo laki moja na ishirini.
https://www.google.com/url?sa=t&rct...5CAKCY&usg=AFQjCNHEvtfdHI9g3kmUIcVuvRLkjQdB0gMkuu Miss N nimeipenda hii,unamaanisha inachuja juice na kupoza huko huko au?
Asante,ntalitafuta.7400000/was 7800000/
ukilinunua naomba unitafute mkuuAsante,ntalitafuta.
mkuu hii avatar yako miss natafuta hajaiona niniNi aina gani nzuri ya mashine ya kusaga matunda(blender)....kwa jiji la mwanza naweza kupata maduka gani..?
Sawa.ukilinunua naomba unitafute mkuu
ukilinunua naomba unitafute mkuu
hela ya kiwanja hyoliko poa sana tafuta
ahaaaa nahamia kabisa kujipika humoahahha kwamba akutafte !haaha uwe uanenda kubake bake tubites twako !napenda kubake bake mwe
ahaaaa nahamia kabisa kujipika humo
ahaaa hilo silijui ila najua tu kuchemsha mdalasini au amira inavuta harufu yote.ngoja kweli nitafute mchezo wa kupeana vyomboahahhaa tafuta michezo ya kupeana vyombo !ucheze unanunue jiko ! mie kuna dude moja jaman nimeisahau jina huwa nalala naliota !linavuta harufu yooote unayopika unalijua? lipo km funnel hv ! sio unapika samosa had sebulen isikike haihu !mwee nimelisahau jina
ahaaa hilo silijui ila najua tu kuchemsha mdalasini au amira inavuta harufu yote.ngoja kweli nitafute mchezo wa kupeana vyombo
ukishamaliza kupikaohh pale napopika ndo nachemsha pemben ?? sipend unakaanga samaki unakuta sebule yote inasmell samaki samak
ukishamaliza kupika