Mashine ya kupalilia imegoma kuwaka nahitaji msaada wa maelekezo

Kama mnavyofahamu wakulima tunapaswa kuongeza ufanisi wa kazi yetu hii kwa kuongeza matumzi ya zana bora za kisasa ,mimi mwenzenu nimeagiza mashine ya kupalilia inaitwa BRUSH CUTTER japo ina majembe ya kulima ,kupalilia na kufyeka sasa leo nimeamua niiwashe .Nikatia petrol kwenye tank nikaweka oili kwenye port ya oil ila kuwasha mashine haiwaki na tatizo ni kwamba sijajua kijiswichi fulani hivi kinatakiwa kuwa wapi wakati nawasha na zaidi nimekuja kutazama mafuta yake naambiwa eti huwa ni mchanganyiko wa petrol na oili sasa naomba msaada hapo kwa wenye mashine ya aina hii au utaalamu mnisaidie nifanye nini mashine iwake.

Ni Honda GX35 ,4 stroke
Kwa mwenye uzoefu ni vema tupeane namba hapa nimpigie anielekeze vizuri

My number 0755346718/0625911797
Kaka salama?
Kama upo Iringa ni PM ili Nikupe dili/tenda ya kufyeka/kukata majani kwenye Shamba langu la Parachichi.
Ni Eka 10.

#ASANTE
 
Sorry bro! Je hiyo mashine inauwezo wa kulima /kupalilia inchi ngapi kwenda chini (udongo tifutifu)? Heka ngapi kwa siku? Na kwa wastani lita ngapi za mafuta kwa heka?
Kuuliza si ujinga
Kaka salama?
Kama upo Iringa ni PM ili Nikupe dili/tenda ya kufyeka/kukata majani kwenye Shamba langu la Parachichi.
Ni Eka 10.

#ASANTE
Ya 42cc inauzwa laki 5 tu bongo hapa si kanunue fyeka mwenyewe. Zipo za 52cc ila bei sijui ninavyoona mimi hizi sio heavy duty machine. Ninayo moja mpya nataka kupeleka shamba ila fyekeo la majani liko vizuri.
 
Machone ya 4 stroke haiwekwi oil kwenye mafuta,
Kuna manual imekuja na hiyo machine, isome au peleka machine na manual yake kwa mtaalamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom