Mashine ya kukata nyama hususani kwa matumizi ya buchani.

Rubani Kiongozi

New Member
Nov 17, 2018
2
0
IMG_1045.JPG

IMG_1046.JPG


Habari zenu wakuu wana wa JF

Mashine hiyo inaiwezo wa katakata nyama na kupasua mifupa kwa haraka na wepesi

Ni mashine inayo tumia umeme. Ninaiuza ikiwa haina obovu wa aina yoyote ile kwa Tsh 1400000 ikiwa complete.
Kwa mawasiliano zaid +255 785 408 631.

ASANTENI.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom