hnp
JF-Expert Member
- Dec 4, 2020
- 276
- 473
Habari wana JF!
Mashine hii inauzwa na bado haijapata mteja bei yake ni Milioni 5 tu. Unapewa kila kitu ikiwemo; mzani wa kupima hadi kg 300, motor n.k. Haina tatizo lolote ni vile tu tajiri ameamua kubadili biashara. Ipo Dar Es Salaam, Gongo la Mboto-Majohe(Unaweza kuihamisha ukitaka). Mashine ina miezi kadhaa toka inunuliwe na ina risiti zake.
Kwa maelezo zaidi na kutaka kufika eneo ilipo mashine piga 0757 726 956.
Ahsanteni!
Mashine hii inauzwa na bado haijapata mteja bei yake ni Milioni 5 tu. Unapewa kila kitu ikiwemo; mzani wa kupima hadi kg 300, motor n.k. Haina tatizo lolote ni vile tu tajiri ameamua kubadili biashara. Ipo Dar Es Salaam, Gongo la Mboto-Majohe(Unaweza kuihamisha ukitaka). Mashine ina miezi kadhaa toka inunuliwe na ina risiti zake.
Kwa maelezo zaidi na kutaka kufika eneo ilipo mashine piga 0757 726 956.
Ahsanteni!