Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
MASHINDANO YA UREMBO YAZIDI KUPAMBA MOTO TANZANIA - SASA KUNA MISS TOTOZ!
Haya unaambiwa ni mashindano ya Miss Totoz Temeke . Ina maana kuna Miss Totoz Ilala, Kinondoni, na wilaya zingine Tanzania au yanafanyika kitaifa? Picha na post nzima nimevidokoa kutoka blogu ya Father Kidevu (samahani Father Kidevu). Ni kazi kwelikweli!
Haya unaambiwa ni mashindano ya Miss Totoz Temeke . Ina maana kuna Miss Totoz Ilala, Kinondoni, na wilaya zingine Tanzania au yanafanyika kitaifa? Picha na post nzima nimevidokoa kutoka blogu ya Father Kidevu (samahani Father Kidevu). Ni kazi kwelikweli!
Miss Totoz 2009, Fatuma Issa
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Dully Sykys, akiimba na watoto, wakati wa kutumbuiza onyesho la Miss Totoz Temeke 2009.
Miss Totoz Tmk 2009, Fatuma Issa(kati) akiwa na mshindi wa pili Jane Anthonyn na mshindi wa tatu Yunis Anthon wakati wa onyesho.
Mbunge wa Viti Maalum Al-Shymaa Kwegiar akiwa na washiriki wa Miss Totoz katika ukumbi wa Equator Grill Dar es Salam
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Dully Sykys, akiimba na watoto, wakati wa kutumbuiza onyesho la Miss Totoz Temeke 2009.
Miss Totoz Tmk 2009, Fatuma Issa(kati) akiwa na mshindi wa pili Jane Anthonyn na mshindi wa tatu Yunis Anthon wakati wa onyesho.
Mbunge wa Viti Maalum Al-Shymaa Kwegiar akiwa na washiriki wa Miss Totoz katika ukumbi wa Equator Grill Dar es Salam