Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Inatia huruma sana......ndio maana wazungu wanatuona hamnazo....hii inanikumbusha watu ambavyo wanakuwa wagumu kucnagia elimu......wenzentu wakenya mtoto wa kapuku anachangiwa harambee na kwenda kusaka elimu sisi wivu sana....Thats why we are far behind them. We don't know how to priorities.
sisi tunachangia harusi,birthday party,babay shower,ubarikio na mazaga zaga mebgine.....