lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,147
- 33,300
- Thread starter
- #81
Mkuu vikwazo ni kuchagua kutoshirikiana na mtu unayemwekea vikwazo ktk sekta unayoitaka,walioamua kuweka vikwazo ni US,RFhakoni haja wala sababu ya kumwekea vikwazo US,ikipatikana sababu atamwekea tu.Ok mbona kama US ameamua kuweka vikwazo kaweka baadhi tu? mbona hajaweka vikwazo vya kununua Hizo engine za maroketi .?na vipuri vya boeng?Just goes on to prove that Russia can't impose economic sanctions against US without badly hurting itself.