Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
figganigga jamani,
Yani mwaka huu nikishinda taji lazima nikuongeze ktk list ya 'Nyumba zangu'
Mkuu unarudi kweli?. Basi vizuri. Basi kama utanilipa kumbuka deni limeongezeka kwa sababu umechelewa kulipa, bora ukubali nikusamehe tu ili hiyo nguvu tuiweke kwa Madame B. lakini naomba uwatangazie member wa jf kama umejiondoa kwenye hili shindano ili waache kukutolea macho. Halafu nisaidie kumpigia kampeni Madame B. ukifika pale ccm nipigie simu au umtume mtoto aniite. mia
figganigga jamani,
Yani mwaka huu nikishinda taji lazima nikuongeze ktk list ya 'Nyumba zangu'
CUTE hana mshindani
Haya basi nguvu zetu kwa Madame B. Niko chalinze sasa nikifika nitakupigia.
hapana. Ukishinda nafsi yangu itafurahi sana coz wenye ni mmoja wa watu Muhimu hapa jf. bila wewe chitchat inadoda kinoumer!. mia
emi mzima mamii,ahsante!ukimaliza kutoa ahadi zako huku karibu MMU mchango wako unahitajika kule.
Kweli inadunda na ni noumer ile kinoumer bhana! She's going to win, take my word!
heshima yako mkuu. pole kwa ile ajali ya kwenye mataa ya uhasibu. Naona safari hii simba mnapeta tu kama Madame B. huyo CUTE wako anatakiwa awe miss mmu sababu chitchat haonekani kabisa hata akionekana kwa mwezi mara moja. yeye zake kule mmu(mapenzi, mahusiano na urafiki). Usitaje mtu kutokana na ukaribu ulio nao naye bali tunataka mtu anaye changia sana chitchat. hata ukimpm ataona unamjali. safari hii ni Madame B. mia