Mashindano ya Kubeba Wake

Kichuguu

Platinum Member
Oct 11, 2006
15,502
19,341
Je watanzania mnasemaje nasi tuanzishe mwashindano ya kukimbia tukiwa tumebeba wake zetu? Nadhani yana raha yake.

wifecarrying7.jpg


wifecarrying4.jpg


wifecarrying1.jpg


wifecarrying5.jpg


wifecarrying6.jpg


wifecarrying9.jpg


wifecarrying11.jpg


wifecarrying12.jpg


wifecarrying13.jpg


wifecarrying15.jpg


wifecarrying16.jpg


wifecarrying17.jpg
 
Hiyo safi sana Mzee,

Niliwahi kushiriki shindano kama hilo ktk parents fun day, it was really fun
 
Wazungu kwa kuvumbua mambo, sasa haya mashindano yanataka huyo m'mke lazima awe mkeo au?
 
Natamani sana kushiriki mashindano haya lakini sijapatia nafasi. Hebu anbgalia utamu mwingine huu:

get_image


r24689_61013.jpg


20akjpeh.jpg



Usiombe haya yakakukuta na kumbwaga malkia wako kwenye maji machafu namna hii

2.jpg
 
Wana JF,
Hii itasaidia sana; especially kwa wale wake ambao wanashindwa kuzuia kuongezeka nyama kwa miili yao.
Itabidi kumkomalia apunguze uzito kwa 'KISINGIZIO' cha mashindano.
Ila italeta problem kwa wale wapendao bantu figaz.
 
Back
Top Bottom