Mashindano na sherehe ya uvuvi Saudi Arabia (HAREED FESTIVAL)

The Stress Challengerr

JF-Expert Member
Jan 18, 2020
2,478
6,764
Haya ni mashindano na sherehe ya uvuvi wa samaki ambayo ufanyika mara moja kila mwaka nchini Saudi Arabia. Mashindano hayo yanaitwa HAREED.

Mashindano hayo ni tamaduni na jadi na yamefanyika karne na karne.

Mashindano hayo ufanyika katikati ya April kila mwaka katika kisiwa cha Farisan kusini Magharibi mwa Saudi Arabia katika jimbo la Jazan.

Wakati huo wa mwaka samaki aina ya (Parrotfish) wanasogea karibu na fukwe za Farisan AL Hasis na Wenyeji wanawasubiri na kuwavua na hapo mashindano na (sherehe) festival za uvuvi ufanyika.

Kabla ya Covid 19 mashindano hayo yalisindikizwa na nyimbo za kitamaduni na tamaduni zingine.

Pia zawadi upewa kwa yule aliye ua samaki wengi.
1772130.jpg
1772131.jpg
1772132.jpg
1772130.jpg
 
Hivi Saudi Arabia sio pure Arab ksma Qatar ?Au ile dhana ya kuwa wasaudia wa asili ni weusi ni ya kweli.
 
Ila warabu wanaelekeana sana na waafrika kuliko weupe wote.
Pua, round face, Mitako kama ya wanawake wa kibantu hata rangi, nini kilitokea sijui. Mfano warabu wa Sudani, Morocvo, Libya ni weusi baadhi yao.
 
Kwa nini hakuna wazungu weusi bali warabu weusi wahindi weusi.
Sizungumzii chotara kama Black America au Blazilia .
 
Ila warabu wanaelekeana sana na waafrika kuliko weupe wote.
Pua, round face, Mitako kama ya wanawake wa kibantu hata rangi, nini kilitokea sijui. Mfano warabu wa Sudani, Morocvo, Libya ni weusi baadhi. Mwarabao.
Mwarabu akikusikia unasema hivyo arakuchinja. Mwarabu na muafrika tofauri kabisa hata kwenye DNA. Ila hii jamii ya Habesha (Ethiopians) na (Cushites) Somalis etc zamani sana a waarabu na Nubians (pure negros) kama southern Sudan walio ana na wakazaana ndo chimbuko la hao hata DNA imedhiirisha
 
Wahindi na waarabu wanatudharau tu waafrika Sisi ni wazazi wao ile rangi yao ya kichotara ilitokana na wazungu na Sisi waafrika kuoana miaka hiyo ya zamani Ndio yakazaliwa hayo machotara ya kihindi na kiarabu Sasa hivi yanaendelea kuoana yenyewe machotara kwa machotara ya kihindi na kiarabu lakini wote hao ni watoto wetu waafrika weusi na wazungu.Mhindi na Mwarabu akiona mswahili mweusi anatakiwa kuamkia Shikamoo baba au mama mswahili ngozi nyeusi
 
Back
Top Bottom