albert_speer
Senior Member
- Nov 26, 2019
- 167
- 153
Kwa lugha ya kitaalam tuayaita septic tank,. Huu mfumo hujumuisha septic tank na soakaway pit, hii septic tank ina sehemu ya kutolea maji ambapo yanakwenda moja kwa moja hadi kwenye soakway pit, kazi ya soakway pit ni kuyafyonza,kuyanyonya ua kuyanywa haya maji.. kinachofanyika kweye soakway pit tunaweka material ambayo tunyaita soil absorbent material.
Hii ni moja ya design ya septic tank niliyoifanya kwa ajili ya hoteli , septic tank hiyo apo juu ina uwezo wa kuhifadhi takribani lita 80,000
Nimeweka chemba tatu ili maji yatakoyekwenda kwenye soakway pit yawe clean, kinachofanyika kwenye soakway pit, ni kwamba hii soakway pit hufyonza au hunyonya haya maji.
Kuna namna nyingi ya kujenga hizi soakway pit.. hii itategemea aina ya udongo ktk site yako. Mfano hapo kwenye design yangu site ina udongo wa mfinyanzi, hauruhusu maji kepenya kwenda chani au haunyonyi maji.. cha kufanya utaondoa huo udongo futi 2 kwenda chini, utajaza material ambayo yatafyonza maji, material hayo ni gravel atleast upate G15, kokoto za inch 1, mchanga haya material utayapanga kwa leyer ya 15 cm utanza na gravel, kokoto then mchanga.
of
Hii ni moja ya design ya septic tank niliyoifanya kwa ajili ya hoteli , septic tank hiyo apo juu ina uwezo wa kuhifadhi takribani lita 80,000
Nimeweka chemba tatu ili maji yatakoyekwenda kwenye soakway pit yawe clean, kinachofanyika kwenye soakway pit, ni kwamba hii soakway pit hufyonza au hunyonya haya maji.
Kuna namna nyingi ya kujenga hizi soakway pit.. hii itategemea aina ya udongo ktk site yako. Mfano hapo kwenye design yangu site ina udongo wa mfinyanzi, hauruhusu maji kepenya kwenda chani au haunyonyi maji.. cha kufanya utaondoa huo udongo futi 2 kwenda chini, utajaza material ambayo yatafyonza maji, material hayo ni gravel atleast upate G15, kokoto za inch 1, mchanga haya material utayapanga kwa leyer ya 15 cm utanza na gravel, kokoto then mchanga.