Sawa.Simu Yangu INA shida kidogo. Ila nilikupata Na nalifanyia kazi.Aksante.
Duh asante kwa tag, ila naona mashemeji wamegoma kuja. Wamekuja wachacheee
Kwani wenyewe hawajipendi lazima wakimbie tuuDuh asante kwa tag, ila naona mashemeji wamegoma kuja.
Soon utasikia "wanawake Mmezidi kuangalia movie". Ingekuwa uzi wa kuwafunda wanawake wangejazana haoo na comments zao "mtoa mada i wish nikuoe, mumeo ana raha sana: blah blah blah. Hili kama hawalioni vileDuh asante kwa tag, ila naona mashemeji wamegoma kuja. Wamekuja wachacheee
Mmh humu wanapita kimyaaaa
Nakwambia wamegoma kupita njia hiiMmh humu wanapita kimyaaaa
Soon utasikia "wanawake Mmezidi kuangalia movie". Ingekuwa uzi wa kuwafunda wanawake wangejazana haoo na comments zao "mtoa mada i wish nikuoe, mumeo ana raha sana: blah blah blah. Hili kama hawalioni vile
Heaven sent Wewe.samahani.hivi yule Warumi maarufu Kule jukwaa la Celebrity aliendaga wapi??nakukumbuka sana Kule miaka hiyo tukiwa wadada.Soon utasikia "wanawake Mmezidi kuangalia movie". Ingekuwa uzi wa kuwafunda wanawake wangejazana haoo na comments zao "mtoa mada i wish nikuoe, mumeo ana raha sana: blah blah blah. Hili kama hawalioni vile
Haha sijui ameenda wapi mwenyekiti wa wambea Afrika Mashariki na kati, nimemmiss kweli binamuHeaven sent Wewe.samahani.hivi yule Warumi maarufu Kule jukwaa la Celebrity aliendaga wapi??nakukumbuka sana Kule miaka hiyo tukiwa wadada.
Inabidi tumsake au alibadili user name.But hata angebadilisha kwa uandishi wake Lazima.Tungemjua japo jukwaa lile nimehama.OK.Sasa.naomba Na nyie.muongezee kwenye Uzi huu.mnachopenda kutendewa kwenye mahusiano/ ndani.Lengo kuwaelimisha.Na wengine.Kumbuka mtandao wa JF una wasomaji wengi wengi sana.Hivyo basi ushauri wa busara utasaidia wengi.Haha sijui ameenda wapi mwenyekiti wa wambea Afrika Mashariki na kati, nimemmiss kweli binamu
Na nyinyi kila baada ya miezi mitatu mnakumbuka zawadi?
au nyie ni kupokea tu?