Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,642
- Thread starter
- #61
Shemeji kama shemeji....U hali gani shem?
Sijui ulimpa nini huyu brother wangu? Ukimuacha lazima achanganyikiwe.
Shemeji kama shemeji....U hali gani shem?
Sijui ulimpa nini huyu brother wangu? Ukimuacha lazima achanganyikiwe.
Teh shemeji kakufanya nini?Kuna mmoja nna mpango wa kumkomesha
Daaaah kuna mtu alimuabia mwenzie, "km unaona navomsukuma huyu nyama anafaidi, njoo nikusukume wewe"Umekumbuka nini
😂😂😂😂Na ni walaji wazuri tu ***** zao.
Kuna faida kubwa maana siku nyingine atakupigia pande yeyeKuhusu nini
Leo nimekuelewa sana wee mbogamboga kwa mtu mzito hawezi kuelewa jambo hapa. Ila umeamdika very brief. Ujinga wetu unatupelekea ujuaji sana. Vijana kujiina wajaanjaaaa...Tatizo kubwa la nchi yetu, na kwa kweli mataifa yote duniani, ambalo ni chimbuko, msingi na shina la matatizo mengine yote ni UJINGA, MARADHI na UMASKINI. Ujinga na Maradhi ni baba na mama, Umaskini ni mtoto wao mpendwa^ ~ Baba wa Taifa.
Mi sihitaji kupigiwa pande na mtu yeyote, ngoma yangu naicheza mwenyewe.... halafu nnavojua huo upambe wa mashemeji wala sinaga muda nao, hata ikitokea tumeshibana ni marufuku kuleta upambe, story zihusu mambo mengine tu.Kuna faida kubwa maana siku nyingine atakupigia pande yeye
Ukiwachekea watakukula aisee.Nacheka kwa sauti.Na ni walaji wazuri was kimasikhara?Wachezaji wa akiba (subs).Wapewe ulinzi...?
Hahaaaa.Wanaweza kukukula wasibakishe hata mifupa eti?Ndo ile ya chuma husuguliwa na chuma au?Shemeeeejiiiii...(in MacReagan'voice-wa ZeKomedi)Ukiwachekea watakukula aisee.
Kuna mashemeji wa ovyo sanaa
Kuna tofauti kati ya mwanaume na shemeji 😁Wanaume hatutoi siri hovyo za michepuko ya jamaa yetu kwa shemeji mkubwa. It's our rule as men. Ukiona mtu anakupakupa dondoo za mahusiano ya Mr wako basi jua anatafuta kamseleleko kwako
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo shemeji sio mwanaume?Kuna tofauti kati ya mwanaume na shemeji
Hawana maana kabisa.....Ukiongea na mme kwenye simu akapewa shemeji akusalimie utasikia "tupo na jamaa hapa tunakulindia" fuken...
Mashemeji nyie mbingu mtaisikia tu!!!!!Kikubwa kwetu mashemeji mtu/watu waliwe.tupo tayari kuplay part yoyote unafiki,usiri,uongo ilimradi mliwe tu SIMPLE
Mbona hizi ni kama tabia za mawifi??Kwenu mashemeji...
Hadi sasa hajatokea bado mtu wa kuivunja rekodi ya mashemeji kwa upambe, mashemeji ni wapambe sana yani ni wapambe nuksi. Halafu tabia zao zinavyofanana unaweza kudhani lilikusanywa kundi la watu wakawekwa pamoja wakaambiwa nyie mtaitwa shemeji na tabia zenu zitakua hizi.
Hawa mashemeji ni marafiki, au ndugu wa boyfriend/mme.
Tabia zao: (upambe wao)
1. Wapo ambayo huwa wanakuaga ni wambea, hawa utakuta kila kinachofanyika kwa mhusika basi anakua anakipenyeza kimbea mbea kwa mwanamke mfano labda mwanaume ana kadem kengine basi shemeji analeta upambe upambe kudokeza dokeza ili ujue, au sometimes kusema kabisa hawa shemeji wako na umama.
2. Wapo ambao sio wambea, mioyo ina kufuli ila wapambe mnoooo unakuta mwenye mzigo ana wanawake labda watatu x,y and z shemeji anawajua wote na kote anajifanya kapaelewa akienda kwa x, shem yani jamaa anakupenda sijui umempa nini (kama mwanamke ni zombi basi ndio kujikuta chautamu). Akienda kwa y shem yani siku ukimuacha jamaa atajiua. Anamalizia kwa z, shem jamaa hawezi kuishi bila wewe....khaaa shemeji nyie ni nyk.
3. Shemeji mlinzi, hii tabia ni karibia ya wote, siipendi, labda yupo na jamaa akimaliza kuongea na mtu wake kwa simu shemeji anapewa simu asalimiee cha kwanza kwa shemeji kukisikia ni "mambo shem usijali tunakulindia"
4. Kubwa kuliko ukijichanganya tu kuwashirikisha migogoro mashemeji utasikia, Mungu wangu mbona jamaa anafanya hivi, kwani kakosa nini kwako hadi anafanya hivi kwa mwanamke kama wewe, yani mi namuomba Mungu anipe mwanamke kama wewe sipati, hapa shemeji anaanda ROAD TO MASIHARA, pia wana ukenge wa kunyapia nyapia weka mbali hawa!!!
Shemeji kwanini nyie ni wapambe?
Hapana, mawifi ni gubu na kutokupendana...Mbona hizi ni kama tabia za mawifi??
Kama ilivyo tofauti ya "Anko" na "Mjomba" au?Kuna tofauti kati ya mwanaume na shemeji 😁