Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Ukistaajabu ya musa utayAona ya firauni. Hivi majuzi viongozi hawa walikuwa na kikao na madaktari na kupiga dua nyingi na kutokwa na povu kuwa rais amedanganywa leo hii baada ya kuchomolewa ombi lao na mkuu wa kaya wamewarudia madaktari nakutaka kuwashtaki.
Jamani madaktari kama watoto wa kambo. Masheikh acheni usaliti. Acheni kutumika.
Jamani madaktari kama watoto wa kambo. Masheikh acheni usaliti. Acheni kutumika.