secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Kaangalie clip zao ndio utawaelewa hao jamaa..kiongozi anayeachia walawiti watoto na kuwafunga mashekhe unaamini ana msimamo thabiti?
Kaangalie clip zao ndio utawaelewa hao jamaa..kiongozi anayeachia walawiti watoto na kuwafunga mashekhe unaamini ana msimamo thabiti?
Warumi sio walatini, kilatino ndio ilikuwa lugha ya warumi.Sheria sometimes sio fair sasa remedy za hao victims inakuwaje? Au ndio ile remi ongala aloimba kuwa ni kilio cha samaki au walatino wanayosema ni Damnum absque injuria?
Kwa kifungu kipi cha sheria ktk nchi hii kutokana na tuhuma za ugaidi.Jamaa inabidi walipwe fidia.
Wameonewa sana.
Usiwe na wasiwasi nchi zetu mbili ziko mikono salama,Wametoka kwa makubaliano ya Hayati Seif na Mwinyi kama moja ya masharti ya kuunda serikali waliyonayo huko zenji sio kwa shinikizo lenu mkuu
Msimamo madhubuti huu
..msimamo wa mwendazake kuhusu mashekhe wa uamsho.
Ole wa wakristo mkaao Zanzibar maana wamwaga tindikali wamerudi,je wataendelea kuua mapadri na kuwamwagia tindikali wakristo,yangu macho.
Mpaka muda huu nimeridhika mno. Huyu ndiyo kiongozi bora..Mama Samia asipojihusisha na UKATILI ataacha legacy kubwa kuliko Magufuli. Watz ni watu rahisi sana kuwaridhisha.
Wasirudie kuwekwa gerezani bila makosa ??Wasirudie safari hii
Huyu DPP wa sasa amewezaje?
These guys the so called UAMSHO hao DPP wengine walikwama wapi kumaliza Kesi zao?
Nakumbuka Prof Kabudi alishawahi kuliambia Bunge kuwa jamaa Wana "Kesi NZITO SANA" enzi za Mwendazake hizo
Kafiri Ni Kichwa yako,Nguruwe WWE🤮Vp na hawa wakoloni waliokuletea ukafiri????
Ukristo ulianzishwa Africa,Egypt,Wazungu wakachukua hio Dini na kuzifanya Yao,Vp na hawa wakoloni waliokuletea ukafiri????
Kafiri Ni Kichwa yako,Nguruwe WWE
Umepotea🤣 Ukristo Ndio inaongoza Afrika🙏👌Daaah! Hili umeshafeli mkuu, uislam africa ndio dini inayoongoza kuwa na wafuasi wengi kuli dini yoyote, pambania ishu nyingine mkuu, sasahivi waislam ndio wanaongoza nchi za zanzibar na tanzania zuri zaidi washauri wastaafu wamebaki waislam tu wakristo Muumba kawatwaa
Amen🙏🤝🔥🔥Haleluyaaaaa
Amen🙏🤝🔥🔥Haleluyaaaaa
Kwenda uko,kasirika Ujilipue,si mmezoea😆Nadhan nan wanajulikana walaji ya hyo kitu,sindano imepenya hyo
🔥🔥🤝🙏💪💪Tukutane street sasa hivi ni Jino kwa jino, mkichoma kanisa tunachoma misikiti
Kwenda uko,kasirika Ujilipue,si mmezoea
Makafiri ni wale wanaoua,kuchoma makanisa na kumwagia wenzao tindikali ili wakapate mabikra 72 wenye macho kama vikombe,dini nyingine ni za ibilisi kabisa.Ndio mkiitwa makafiri mnakasirika. Kwa maneno yako hayo wewe ni kafiri , fitina la nguvu kuliko Juda iscarioti. Yalioko kifuani mwako ni makubwa kuliko hata uliyoyaandika hapa . NI CHUKI DHIDI YA UISLAMU NA WAISLAMU KWENDA MBELE