Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Sababu:
1. Walitaka kuvunja muungano ndio maana ya uamsho.
2. Zanzibar iwe na utawala wa sharia badala ya sheria ( mtu akiiba akatwe mkono)
3. Kuchochea vurugu
4. Inasemekana kati ya hao masheikhe kuna vibaraka wa waarabu na wangefanikisha tu issue ya kuvunjaa muungano basi wanarudi kuchukua kisiwa chao.
Mambo ni mengi na kesi yao ni ngumu sana ila kwenye media huku watu wanatetea vitu wasivyovijua
Eti inasemekana vibaraka wa waarabu, yani unaongea vitu usivyovijua ilimradi tu udanganye umma. Acha hivyo mkuu.
Ebu tuambie waarabu wa wapi hao? Kwanza zanzibar ina mchanganyiko watu aina ya watu tofauti, wakiwemo na waarabu pia ambao wengiwao ni wazawa wa pale, na znz asilimia zaidi ya tisini ni waislamu. Sasa utasema nchi hiyo ni ya kikristo!!! Kuwa serious mzee! Wazanzibari Wana haki kudai haki yao, na muungano uvunjwe ili wawe huru, na misaada mingi watapokea kutoka arab/europe countries. Acheni wivu