Masheikh wa uamsho ukweli ukoje?

Sababu:
1. Walitaka kuvunja muungano ndio maana ya uamsho.
2. Zanzibar iwe na utawala wa sharia badala ya sheria ( mtu akiiba akatwe mkono)
3. Kuchochea vurugu
4. Inasemekana kati ya hao masheikhe kuna vibaraka wa waarabu na wangefanikisha tu issue ya kuvunjaa muungano basi wanarudi kuchukua kisiwa chao.
Mambo ni mengi na kesi yao ni ngumu sana ila kwenye media huku watu wanatetea vitu wasivyovijua

Eti inasemekana vibaraka wa waarabu, yani unaongea vitu usivyovijua ilimradi tu udanganye umma. Acha hivyo mkuu.

Ebu tuambie waarabu wa wapi hao? Kwanza zanzibar ina mchanganyiko watu aina ya watu tofauti, wakiwemo na waarabu pia ambao wengiwao ni wazawa wa pale, na znz asilimia zaidi ya tisini ni waislamu. Sasa utasema nchi hiyo ni ya kikristo!!! Kuwa serious mzee! Wazanzibari Wana haki kudai haki yao, na muungano uvunjwe ili wawe huru, na misaada mingi watapokea kutoka arab/europe countries. Acheni wivu
 
Kama ndiyo hivyo acha wateseke.


Kwenye nchi inayofuata utawala wa sheria hao wanatakiwa wafikishwe mahakamani kujibu mashitaka kama yapo, kama hayapo basi inatakiwa waachiwe huru.

Kuwekwa mahabusu bila kufikishwa mahakamani ni kosa baya Labda kuliko kosa walilotenda kama lipo. Kumbuka hao ni binadamu wanastahili haki zote za binadamu kwa mujibu wa katiba ambayo Viongozi wa serikali huapa kwamba watailinda.

Kumbuka usemi huu: "A right delayed is a right denied"
 
Eti inasemekana vibaraka wa waarabu, yani unaongea vitu usivyovijua ilimradi tu udanganye umma. Acha hivyo mkuu.

Ebu tuambie waarabu wa wapi hao? Kwanza zanzibar ina mchanganyiko watu aina ya watu tofauti, wakiwemo na waarabu pia ambao wengiwao ni wazawa wa pale, na znz asilimia zaidi ya tisini ni waislamu. Sasa utasema nchi hiyo ni ya kikristo!!! Kuwa serious mzee! Wazanzibari Wana haki kudai haki yao, na muungano uvunjwe ili wawe huru, na misaada mingi watapokea kutoka arab/europe countries. Acheni wivu

Hizi akili nyingine bhana,kumbe lengo la kutaka kuvunja muungano ni kupokea misaada mingi kutoka "arab/Europe countries "?
 
Ipo hv mkuu, uzuri nilikuwepo Unguja kipindi sakasaka hili linatokea, masheikh wa miadhara (uhamsho) wao walikuwa na ajenda yao kubwa ya kuamsha wazanzibar waliolala juu ya swala zima la nchi yao, wao kipindi wapo walikua wanawakumbusha wazanzibar kuwa si ccm wala chadema wala CUF itakayowakomboa kutoka kwenye maisha ya dhiki bali ni kufata mwenendo wa quraan na sunna za mtume.

Hawa masheikh hawakuvutiwa na CUF wala chadema wao walikuwa na sera yao kuwa demokrasia ni ukafiri ndio maana kila walipokuta bendera ya CUF au CCM wao walikua wakizishusha na kupandisha zao ambazo zina rangi nyeupe tupu na maandishi meupe kati yaliyosomeka kwa kiarabu hakuna mola anaepaswa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah na muhammad ni mjumbe wa mwenyezi mungu, wao wao walikuwa wanaamini kuwa kwa umoja wao basi walikua na uwezo wa kuiforce serikali ya CCM kutoka madarakani na wao kuchukua mamlaka kamili, nakumbuka wakati huo mambo mengi yalijitokeza wanawake waliovaaa nusu uchi walipigwa fimbo sn mitaani na vijana wafuasi wa uhamsho, walipinga sana siasa ndani ya Zanzibar maana wao hawakuwa na chama, wakawa wanadamana kudai mamlaka kamili ndiipo serikali iliposhtuka na kuona hawa watu wakiachiwa mambo yataharibika Muda si mrefu ndio ikabidi wakamatwe.

Na ndio wakati huo huo viongozi baadhi wa makundi ya kijihad waliwakebehi uhamsho kwa style yao ya kutaka utawala utolewe na kuuita style za kizamni bimana kwenye uislam hakuna maandamano , hivyo walitakiwa washike silaha na kuutoa udhalimu. Note sina uhakika sn inavyosemekana kukamaktwa kwa wale watu agizo lilitoka marekani na kusema hao watu ni htr sn hvy wakamatwe kwa makosa ya ugaidi wapo wanaodai kuna viongozi wa uhamsho walifanya training kandahar, na wakati huo raia wa kigeni huko zenji kipindi cha uhamsho walikutwa na madhira mengi sana like kumwagiwa tindi kali na kufanyiwa vitendo visivyofaa. hayo ndio yaliyowasibu uhamsho hadi leo America wanatazama kwa jicho la mwewe if watatoka au laa kesi ngumu.


View attachment 1750627
Mbona unaongea uongo ni bendera zipi walizozishusha na walizishusha ktk kijiji gani maana wajifanya ww unaijua unguja kutushinda sisi ambak mababu zetu wamezalia huku pamoja na ma bibi zetu ww ulikuja unguja kwa kuja kununua tv hapa mtendeni sahivi unajifanya mwenyeji kutushinda sisi tulio zaliwa
 
Mbona unaongea uongo ni bendera zipi walizozishusha na walizishusha ktk kijiji gani maana wajifanya ww unaijua unguja kutushinda sisi ambak mababu zetu wamezalia huku pamoja na ma bibi zetu ww ulikuja unguja kwa kuja kununua tv hapa mtendeni sahivi unajifanya mwenyeji kutushinda sisi tulio zaliwa
Hahahaahah.

Eti anasema alikuwepo wakati tukio linatokea.

Ajabu hii!
 
Ipo hv mkuu, uzuri nilikuwepo Unguja kipindi sakasaka hili linatokea, masheikh wa miadhara (uhamsho) wao walikuwa na ajenda yao kubwa ya kuamsha wazanzibar waliolala juu ya swala zima la nchi yao, wao kipindi wapo walikua wanawakumbusha wazanzibar kuwa si ccm wala chadema wala CUF itakayowakomboa kutoka kwenye maisha ya dhiki bali ni kufata mwenendo wa quraan na sunna za mtume.

Hawa masheikh hawakuvutiwa na CUF wala chadema wao walikuwa na sera yao kuwa demokrasia ni ukafiri ndio maana kila walipokuta bendera ya CUF au CCM wao walikua wakizishusha na kupandisha zao ambazo zina rangi nyeupe tupu na maandishi meupe kati yaliyosomeka kwa kiarabu hakuna mola anaepaswa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah na muhammad ni mjumbe wa mwenyezi mungu, wao wao walikuwa wanaamini kuwa kwa umoja wao basi walikua na uwezo wa kuiforce serikali ya CCM kutoka madarakani na wao kuchukua mamlaka kamili, nakumbuka wakati huo mambo mengi yalijitokeza wanawake waliovaaa nusu uchi walipigwa fimbo sn mitaani na vijana wafuasi wa uhamsho, walipinga sana siasa ndani ya Zanzibar maana wao hawakuwa na chama, wakawa wanadamana kudai mamlaka kamili ndiipo serikali iliposhtuka na kuona hawa watu wakiachiwa mambo yataharibika Muda si mrefu ndio ikabidi wakamatwe.

Na ndio wakati huo huo viongozi baadhi wa makundi ya kijihad waliwakebehi uhamsho kwa style yao ya kutaka utawala utolewe na kuuita style za kizamni bimana kwenye uislam hakuna maandamano , hivyo walitakiwa washike silaha na kuutoa udhalimu. Note sina uhakika sn inavyosemekana kukamaktwa kwa wale watu agizo lilitoka marekani na kusema hao watu ni htr sn hvy wakamatwe kwa makosa ya ugaidi wapo wanaodai kuna viongozi wa uhamsho walifanya training kandahar, na wakati huo raia wa kigeni huko zenji kipindi cha uhamsho walikutwa na madhira mengi sana like kumwagiwa tindi kali na kufanyiwa vitendo visivyofaa. hayo ndio yaliyowasibu uhamsho hadi leo America wanatazama kwa jicho la mwewe if watatoka au laa kesi ngumu.


View attachment 1750627
Okay sawa.

Ni kwanini hawahukumiwi sasa. Hapo ndio uonevu unapoingia.
 
HATA MIMI NILIKUA NAWATETEA

LAKINI SASA HIVI NASEMAJEEEEEE

WAFUNGWE HUKOHUKO WASITOKE HAO NI HATARI KWA TAIFA HILI

NIMEMKUMVUKA PADRE EVARIST MUSHI NIMEKUMBUKA TINDIKALI NA ULE UCHOMAJI WA MAKANISA VYOTE VILITOKEA WAKATI WAO


NA KIFUPI WAISLAM WENGI HUA WANAINGIZWA MKENGE NA MAMBO YA ISLAMIC STATE NA HAWAJUI KWAMBA CHIMBUKO LAKE NI MAREKANI NDIO ALIANZISHA ILI WAISLAM WACHAFUKE NA WAO WAMEINGIA MKENGE WANASEMA TUNAPIGANA JIHAD MARA TUNAMPIGANIA ALLAH......NA NDIO HAOHAO WANA INFLUENCE WATU MPAKA ZANZIBAR WANATOKEA HAO MASHEIKH KUTAKA KUTEKELEZA MAWAZO YASIWEZA KUTOKEA YA KUTAKA DUNIA YOTE ISILIMU KITU AMBACHO HAKITATOKEA

MIMI NASEMAJEEEEEE WAENDELEE KUNYEA NDOO HATA KAMA SHERIA INAVUNJWA KWA AJILI YA AMANI YA TAIFA HILI WAKAE HUKOHUKO NA NIMEACHA KUWAONEA HURUMA NA KUWATETEA
 
Kwanza kabisa hawa Masheikh wakati wanakamatwa Marais walikuwa ni Kikwete Muislam na Dkt. Shein muislam. Sasa hadi leo Marais ni Samia muislam na Dkt Hussein Mwinyi Muislam.

Lakini kila siku tunasikia hawa Masheikh 'wanaonewa' Kwa kukaa rumande miaka mingi bila kesi yao kupelekwa mahakamani.

Kuna mtu mwenye 'ukweli halisi' Atusaidie? Nini hasa kinaendelea?

Kwa Ninavyojua Wanashtakiwa Kwa Kuchochea Uhaini, Walitaka Kuvunja Serikali Isiyo Ya Kidini Na Kusimika Serikali Ya Kidini. Walitaka Zanzibar Iwe Dola Ya Kiislam Kamili
 
ndio kuna ma sheikh wengi katika gereza la kisongo arusha
Kuwa kiongozi wa dini haimaanishi uko juu ya sheria na kwamba ujifanyie mambo km unavyojisikia. Hawa watu wachache wanaotumia dini kugawa watu lazima wabanwe kwa masilahi mapana ya nchi.

Tukijenga tabia ya kutetea watu wa aina hii tutaligawa Taifa. Dini ni yako wewe si dini ya nchi.Km ni mbinguni utaenda wewe nchi itabaki kwann ulazimishe watu?
 
mie unguja nimezaliwa nimesoma mpk Kesho hadi kiama kitasimama unguja ndio home, nimeishi mkunazini baadae nikaja ishi paje na babu hadi nilipokuja bongo , usijifanye unaijua unguja kuliko wengine
Mbona unaongea uongo ni bendera zipi walizozishusha na walizishusha ktk kijiji gani maana wajifanya ww unaijua unguja kutushinda sisi ambak mababu zetu wamezalia huku pamoja na ma bibi zetu ww ulikuja unguja kwa kuja kununua tv hapa mtendeni sahivi unajifanya mwenyeji kutushinda sisi tulio zaliwa
 
Ipo hv mkuu, uzuri nilikuwepo Unguja kipindi sakasaka hili linatokea, masheikh wa miadhara (uhamsho) wao walikuwa na ajenda yao kubwa ya kuamsha wazanzibar waliolala juu ya swala zima la nchi yao, wao kipindi wapo walikua wanawakumbusha wazanzibar kuwa si ccm wala chadema wala CUF itakayowakomboa kutoka kwenye maisha ya dhiki bali ni kufata mwenendo wa quraan na sunna za mtume.

Hawa masheikh hawakuvutiwa na CUF wala chadema wao walikuwa na sera yao kuwa demokrasia ni ukafiri ndio maana kila walipokuta bendera ya CUF au CCM wao walikua wakizishusha na kupandisha zao ambazo zina rangi nyeupe tupu na maandishi meupe kati yaliyosomeka kwa kiarabu hakuna mola anaepaswa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah na muhammad ni mjumbe wa mwenyezi mungu, wao wao walikuwa wanaamini kuwa kwa umoja wao basi walikua na uwezo wa kuiforce serikali ya CCM kutoka madarakani na wao kuchukua mamlaka kamili, nakumbuka wakati huo mambo mengi yalijitokeza wanawake waliovaaa nusu uchi walipigwa fimbo sn mitaani na vijana wafuasi wa uhamsho, walipinga sana siasa ndani ya Zanzibar maana wao hawakuwa na chama, wakawa wanadamana kudai mamlaka kamili ndiipo serikali iliposhtuka na kuona hawa watu wakiachiwa mambo yataharibika Muda si mrefu ndio ikabidi wakamatwe.

Na ndio wakati huo huo viongozi baadhi wa makundi ya kijihad waliwakebehi uhamsho kwa style yao ya kutaka utawala utolewe na kuuita style za kizamni bimana kwenye uislam hakuna maandamano , hivyo walitakiwa washike silaha na kuutoa udhalimu. Note sina uhakika sn inavyosemekana kukamaktwa kwa wale watu agizo lilitoka marekani na kusema hao watu ni htr sn hvy wakamatwe kwa makosa ya ugaidi wapo wanaodai kuna viongozi wa uhamsho walifanya training kandahar, na wakati huo raia wa kigeni huko zenji kipindi cha uhamsho walikutwa na madhira mengi sana like kumwagiwa tindi kali na kufanyiwa vitendo visivyofaa. hayo ndio yaliyowasibu uhamsho hadi leo America wanatazama kwa jicho la mwewe if watatoka au laa kesi ngumu.


View attachment 1750627
Duh.... aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom