mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
"M'Mungu angetaka mngekuwa kundi moja na mchungaji mmoja, lakini hitlafu miongoni mwenu lazima ziwepo!" hiyo ni kauli ya Allah! unaetaka muwe kundi moja wee ni nani?Kwa hiyo nchi zingine zinazotoa takwimu za dini hazina umoja wa kitaifa?Sikubaliani na hoja kwa sababu iko too simplistic