Mashehe wa Bara Ongozeni harakati za kuupinga Muungano; Tanganyika isiidhulumu Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Kwa anayetaka kumuelewa MM. Aaangalie hiyo Video Clip.

Ukichangia bila kuitizama hiyo Video Clip utakua unatoka Nje ya mada.

Naionea huruma Zanzibar.

Sababu anazotoa huyu Bwana kutetea kuukata muungano Hazina mshiko jamani.

Mkuu wangu hivi Padre akisimama na kuanza kutetea ushoga na ndoa za jinsia mmoja utamuunga mkono?
 
hivi Zanzibar kuna mashamba ya Viazi?

Hivi Zanzibar wanazalisha umeme kiasi gani?

Tanganyika ina import nini kutoka Zanzibar?

Mtoto akililia wembe mpeni jamani.

Tanganyika hai import chochote kutoka Zanzibar, Tanganyika ina export. Mwanakijiji atakujulisha ina export nini.
 

Nawasihi mashehe wa bara wafuate mfano wa wale wa Zanzibar; watuongoze kupinga Muungano ili Zanzibar iwe huru. Haiwezekani watu wa Tanganyika (wakiwemo mamilioni ya Waislamu) wawe wanawadhulumu Waislamu wa Zanzibar kwa kuendeleza Muungano. Tafadhalini mashehe kwa hili hata miye nitawaunga mkono!! Muungano umalizwe kusiwepo na dhulma, ukandamizaji na uonevu unaofanywa na Watanganyika (Waislamu kwa Wakristu) dhidi ya Wazanzibari!

Kabla hamjanirukia... there is a point am making...[/QUOTE]



Kiufupi huwezi kutenganisha kati ya muungano na mfumo kristo Tanzania.
ndio maana huwezi kuona faida yoyote ya muungano.

Yaani, muungano unafaida kubwa kwa kanisa kuliko serikali yake.

Unafikiri kwa nini makanisa na Baa zinachomwa?

Zina chomwa kwa sabababu ndio faida za muungano katika miaka 48 ya muungano, toa faida nyingine ya muungano zaidi ya hizo! na Watalii, a.k.a wakaa uchi.

Na wala Wazanzibari wasitishwe na hotuba za Nyerere, walioko huku tanganyika watapewa pasport kama wakenya waliopo Tanzania.
 
uzuri wa ushauri ni kuwa si lazima uufuate; lakini kwamba umetolewa hilo huwezi kuzuia.

Ulioutoa ni ushauri au ufataani, fitna?

Kwanini usiwatake Wakuu wako wa kanisa na wakristo kuunga mkono hilo?

Haya ndio unayoyataka, Waislaam wakujibu, na unajuwa watakujibu. Huu ni ufataani wa hali ya juu.

Watu kama wewe ni sumu mbaya sana katika jamii. Huwa mnatumia maandiko yenu kufitinisha badala ya kupatanisha.

Nime report abuse kwa hii nyuzi yako, lakini naona haijafutwa wala kuwekwa pembeni kwa kuwa tu ni ufataani unaotoka kwako.
 
mbona liko wazi - muungano umefika wakati uvunjwe. Kwa vile harakati za kupinga Muungano Zanzibar zinaongozwa na mashehe ninaamini watu sahihi bara kuweza kuongoza harakati za kuvunja Muungano ni mashehe vile vile.

Mwanakijiji, mimi si muumini wa huu Muungano napenda tu nikwambie hao wanaoshinikiza uvunjwe ni wachache sana.
Kama Viongozi wetu wangekuwa majasiri kuitisha kura ya maoni upande wa Zanzibar naamini Wazanzibari wengi wangepinga Muungano kuvunjwa.
 
MMJ hata wewe unachochea makanisa ya Bara (Tanganyika) yaanze kuchomwa? ulijifanya kumpinga Dogo Janja kuwa kauli yake ya "Uchochezi", Je hii yako? Nyani haoni Gundule lake...
 
Huu ni uhaini!.
Nimemkumbuka Nyerere, angekuwepo, tusingefika hapa!. Tukiwaambia JK is a weak president, watu hawataki kukubali!.
Hao masheikh wa kukundi cha Uamsho, wanakuwa tolerated under pretex ya religious tolerance hivyo kutenda vitendo vya jinai ya uhaini kwa muda mrefu na kuachwa hivi hivi wakiangaluwa!. Lakini wafuasi wao walipofanya jinai ya violence, ndipo wakakamatwa!. Kwa huu udhaifu wa JK, sasa sio tena CCM itamfia mikononi nwake, bali sasa muungano unataka kumpasukia!.

Mzee Mwanakijiji please stop this reciplicles za kihaini, japo muungano wenyewe sio halali, lakini "the end justifies the meas"!.

Wewe lazima utakuwa unanfaika na huu muungano ndiyo maana unasema ni uhaini..... MM yuko sahii maana anachokisema ndiyo kiko mioyoni mwa watu... Mimi nashangazwa sana hii taabia ya watanzinia walioko kwenye system kutokupenda ukweli.. Leo hii waZNZ hawataki muungano sisi waTanganyika tunawalazimisha ili iweje au ndiyo mnataka kuproove kwamba tunawakandamiza na kuwanyonya..

Kama muungano ni muhimu inabidi tuujadili na tujue ni wa namna gani kuliko huu wa watu kujipatia vyeo tu huku watu wakinyanyasika.
 
MMJ hata wewe unachochea makanisa ya Bara (Tanganyika) yaanze kuchomwa? ulijifanya kumpinga Dogo Janja kuwa kauli yake ya "Uchochezi", Je hii yako? Nyani haoni Gundule lake...

Huyu ndio fataani mkubwa sana ikija kwa masuala yanayowahusu Waislaam, huwa anafikia mpaka kubadili aya za Qur'an kuziweka ndivyo sivyo, nakumbuka katika nyuzi ya Mohamed Said aliziweka ayat ndivyo sivyo ili tu awafitinishe Waislaam, bahati nzuri kuna waliomstukia na kuna walioanza kupandishia wenyewe kwa wenyewe kwa fitna zake. Ni mtu ambae hafai kabisa katika jamii ni mfitini mkubwa sana. Na hii nyuzi ni katika kufitinisha si kupatanisha.

Hii nyuzi nashauri ifutwe kabisa na watawala wa JF. Ni fitna kubwa sana.
 
jana nimesikiliza na kuangali hiz youtube zote......kwa mbaali ukisikiliza kwa makini hawa mashehe wana point lakini kwa ujumla wake njia wanayotumia sio sahihi
 
Kwa sababu wewe ndiye iliyeanzisha huu ufataani hapa. Kwanini usiwashauri mapadri na wakristo kuuvunja Muungano? unajuwa watakosa export product yao?

kwa hiyo huamini kuwa Waislamu wa Tanganyika (pamoja na Watanganyika wakristu na wenye imani mbalimbali) wanawadhulumu Wazanzibari?
 
kwa hiyo huamini kuwa Waislamu wa Tanganyika (pamoja na Watanganyika wakristu na wenye imani mbalimbali) wanawadhulumu Wazanzibari?

Sikiliza, mimi naamini nnachoamini nawe amini unachoamini, kwanini kama unaona Wazanzibar wanadhulumiwa usiwashauri Mapadri na Wakristo wenzako, kwanini wewe ambae si Muislaam, huujui Uislaam uwe fataani wa Waislaam? Waache Waislaam waongee, na Mufti wa Tanzania kisha lisemea hili suala kabla yako. Usitake kujaza watu chuki zako binafsi.

Nenda kawashauri kanisa na mapadri, si wao ndio wamechomewa moto kanisa huko Zanzibar? kwanini uwashauri Waislaam?
 
hivi Zenji kuna nini, migodi ya dhahabu?, miradi ya umeme? mashamba? upande upi wa nchi unaodhurumu?. Au huo utalii na zao la karafuu.
kama viongozi wa dini wanataka siasa waache dini, maswala ya muungano ni siasa sio dini. Dini imewashinda anzisheni vyama vya siasa na sio vikundi vya kidini.

Mtoa mada anzisha mada zenye mashiko.
 
hivi Zenji kuna nini, migodi ya dhahabu?, miradi ya umeme? mashamba? upande upi wa nchi unaodhurumu?. Au huo utalii na zao la karafuu.
kama viongozi wa dini wanataka siasa waache dini, maswala ya muungano ni siasa sio dini. Dini imewashinda anzisheni vyama vya siasa na sio vikundi vya kidini.

Mtoa mada anzisha mada zenye mashiko.
 
Nionavyo mimi baada ya muungano kufanikiwa kuvunjwa itaanza ishu ya udini hata ndani ya Tanganyika yenyewe.
 
uzuri wa ushauri ni kuwa si lazima uufuate; lakini kwamba umetolewa hilo huwezi kuzuia.

Hakuna anayekuzuia kutoa huo ushauri wako wewe sio Muislam wala hujui taratibu za Uislaam unataka kuwashauri Masheikh huoni kama ni kichekesho! Wewe ni Mkiristo safi washauri Maskofu wako na Wachungaji kila siku mnakutana makanisani...kwenye Uislam nimarufuku kufuata ushauri wa mtu ambaye sio muislam kwenye mambo yanayohusu imani ya dini ya Kiislaam.
 
Je Muungano ni Ukristo wa Zanzibar na Uislam wa TANGANYIKA? La dhana ya muungano ilijengwa na Serikali ya watu wa zanzibar na serikali makini ya Tanganyika hivyo unaweza kujadiliwa ktk mfumo utakaowekwa na serikali asasi za dini HAZIHUSIKI
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom