Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Nawasihi mashehe wa bara wafuate mfano wa wale wa Zanzibar; watuongoze kupinga Muungano ili Zanzibar iwe huru. Haiwezekani watu wa Tanganyika (wakiwemo mamilioni ya Waislamu) wawe wanawadhulumu Waislamu wa Zanzibar kwa kuendeleza Muungano. Tafadhalini mashehe kwa hili hata miye nitawaunga mkono!! Muungano umalizwe kusiwepo na dhulma, ukandamizaji na uonevu unaofanywa na Watanganyika (Waislamu kwa Wakristu) dhidi ya Wazanzibari!
Mkuu usiwe unakurupuka tu ni ukandamizaji gani unaofanywa na watanganyika? Ungeweka walao mifano na siyo kufanya uchochezi usio ujua
Last edited by a moderator: